barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Ni maukule kweli kweli...hajakosea! Kayataka mwenyewe...Kuna dalili Kuwa Yanga ikaenda kupasuka pasuka , hii n baada ya Video iliyorekodiwa na Nugazi na mashabiki wa Yanga. Video hyo inasikika sauti ikidai kuwa Msukule wa Simba wamemchukua ( Ifahamike kuwa hakuna biashara ya mchezaji au kocha yeyote aliyetoka simba kwenda Yanga) mtu pekee aliyeenda Yanga ni Aliyekuwa msemaji wa Simba Sc ndugu HAJJI SUNDAY MANARA
Sasa kwa kauli hii kuna uwezekano kukatokea mpasuko mkubwa sana yanga ... Team NUGAZ vs TEAM MANARA
View attachment 1912498
Kumbe ndio maanaView attachment 1912653
Wapo humo kwenye jezi yao
Tena dozi na nongwa za Haji Manara ndo kwanza zimeanza
Tena mkae kwa kutulia
Subiri tuwafunge kwenye ngao jamii kama hataokolewa na polisi uwanjani ,lazima waseme ni mamluki anatuhujumuKumbe ndio maana
Duh timbwili limeanza ,kwanza Haji atasababisha mgogoro Yanga ,Kuna Yanga hawampendi wanamwona mamluki na Kuna Yanga wanaompenda ambao kwa akili zao wanawaza wanakomoa Simba
Ina maana pale GSM siyo kwamba Nugaz na Engineer ndo wana nguvu? Haji anaforce kukaa kwa nguvuNugaz kubali tu huna nyota na hukubaliki kidimbwini fc.
Haji GSM wanawe kitambooo....hawawezi kumuacha afe njaa kitaa..Ina maana pale GSM siyo kwamba Nugaz na Engineer ndo wana nguvu? Haji anaforce kukaa kwa nguvu
Sema GSM nao wanaangalia upepo wa Manara ,ni ajabu Kina Nugaz wapo GSM lakini wanashindwa kutumia fursa za kufanya ubalozi wa GSM.Haji GSM wanawe kitambooo....hawawezi kumuacha afe njaa kitaa..
Uzuri majina wanatoa wenyewe[emoji23]Aisee wametupa jina jipya ,na imemkaa vizuri
Mnatafuta pa kutokea hayo makolo kolo hayooo hovyo kabisa.Kuna dalili Kuwa Yanga ikaenda kupasuka pasuka , hii n baada ya Video iliyorekodiwa na Nugazi na mashabiki wa Yanga. Video hyo inasikika sauti ikidai kuwa Msukule wa Simba wamemchukua ( Ifahamike kuwa hakuna biashara ya mchezaji au kocha yeyote aliyetoka simba kwenda Yanga) mtu pekee aliyeenda Yanga ni Aliyekuwa msemaji wa Simba Sc ndugu HAJJI SUNDAY MANARA
Sasa kwa kauli hii kuna uwezekano kukatokea mpasuko mkubwa sana yanga ... Team NUGAZ vs TEAM MANARA
View attachment 1912498
GSM yy ni kupiga hela, Hana habari na hilo litimu. Liboronge lisiboronge hana shida.Wakuu Hii ni kutoka ndani kabisa kuwa ujio wa Haji Manara pale jangwani umeleta mgawanyiko mkubwa.
Kuna pande mbili Moja ni ile ya upande wa tajiri (GSM) na Yanga ya upande wa kina Bumbuli & Antoni Nugaz ambao hawataki kabisa kufanya kazi na Haji Manara.
Haji Manara ameshaanza kutengwa na kupewa majina kama Msukule.
Sasa Tajiri GSM amekasirishwa na wale wanaompinga Haji Manara kwani yeye ndio aliemleta na kumlipa mshahara.
Kumbuka Antoni Nugaz kwa muda sasa ndio amekua chawa wa Tajiri sasa kuna chawa Mpya kaja na wanaona anatishia maslahi Yao.
Kuna shinikizo Antonio Nugaz atoke ili Msukule aweze kufanya kazi kwa utulivu.
Mazombi scView attachment 1912653
Wapo humo kwenye jezi yao
ukitoa hiyo picha ukaweka ya yuda afu ukaacha caption hiyo hiyo
yaani bongo ukifa Kwa stress ni utakua umejitakia nimecheka wallah!View attachment 1912653
Wapo humo kwenye jezi yao