Antonio Nugaz amwita Manara "Msukule"

Antonio Nugaz amwita Manara "Msukule"

Kuna dalili Kuwa Yanga ikaenda kupasuka pasuka , hii n baada ya Video iliyorekodiwa na Nugazi na mashabiki wa Yanga. Video hyo inasikika sauti ikidai kuwa Msukule wa Simba wamemchukua ( Ifahamike kuwa hakuna biashara ya mchezaji au kocha yeyote aliyetoka simba kwenda Yanga) mtu pekee aliyeenda Yanga ni Aliyekuwa msemaji wa Simba Sc ndugu HAJJI SUNDAY MANARA

Sasa kwa kauli hii kuna uwezekano kukatokea mpasuko mkubwa sana yanga ... Team NUGAZ vs TEAM MANARA

View attachment 1912498
Ni maukule kweli kweli...hajakosea! Kayataka mwenyewe...
 
Tena dozi na nongwa za Haji Manara ndo kwanza zimeanza
Tena mkae kwa kutulia
 
Tena dozi na nongwa za Haji Manara ndo kwanza zimeanza
Tena mkae kwa kutulia

Wakati nyie mkijivunia nongwa za Msukule Manara (in Nugaz voice) sisi Simba tunajivunia kutwaa makombe back to back na safari hii tunachukua mara ya tano mfululizo.Kupanga ni kuchagua,kila mtu atakula alikopeleka mboga.
 
Kuna dalili Kuwa Yanga ikaenda kupasuka pasuka , hii n baada ya Video iliyorekodiwa na Nugazi na mashabiki wa Yanga. Video hyo inasikika sauti ikidai kuwa Msukule wa Simba wamemchukua ( Ifahamike kuwa hakuna biashara ya mchezaji au kocha yeyote aliyetoka simba kwenda Yanga) mtu pekee aliyeenda Yanga ni Aliyekuwa msemaji wa Simba Sc ndugu HAJJI SUNDAY MANARA

Sasa kwa kauli hii kuna uwezekano kukatokea mpasuko mkubwa sana yanga ... Team NUGAZ vs TEAM MANARA

View attachment 1912498
Mnatafuta pa kutokea hayo makolo kolo hayooo hovyo kabisa.
 
Wakuu Hii ni kutoka ndani kabisa kuwa ujio wa Haji Manara pale jangwani umeleta mgawanyiko mkubwa.

Kuna pande mbili Moja ni ile ya upande wa tajiri (GSM) na Yanga ya upande wa kina Bumbuli & Antoni Nugaz ambao hawataki kabisa kufanya kazi na Haji Manara.

Haji Manara ameshaanza kutengwa na kupewa majina kama Msukule.

Sasa Tajiri GSM amekasirishwa na wale wanaompinga Haji Manara kwani yeye ndio aliemleta na kumlipa mshahara.

Kumbuka Antoni Nugaz kwa muda sasa ndio amekua chawa wa Tajiri sasa kuna chawa Mpya kaja na wanaona anatishia maslahi Yao.

Kuna shinikizo Antonio Nugaz atoke ili Msukule aweze kufanya kazi kwa utulivu.
GSM yy ni kupiga hela, Hana habari na hilo litimu. Liboronge lisiboronge hana shida.

Jezi sh 35,000 lkn MISUKULE SC wanaambulia sh 1,300.

Nionyeshe Utopolo hata mmoja mwenye akili. Hakuna.
 
Nugaz arudi Simba akufungue matawi huko kama ilivyokuwa mwanzo
 
Back
Top Bottom