Wanume wa Dar wako bize wanajadiri mishahara ya wanaume wenzao
Hahaha I believe so👆 Labda 3m za Zimbabwe.
hakuna mtangazaji yeyote wa clouds anaelipwa salary zaidi ya laki 6..kama huamini nitafute inbox nikuonyeshe documents.
Baadhi ya hao ilowataja wengine nasikia wameolewa hapoMimi najua Millard Ayo, Bdozen,Masoud kipanya,Gadna na Adam Mchomvu ndo wanao lipwa mpunga mlefu pale CMG.
Labda anafuga kuku au anavuta kwa wazazi.Why inbox? Onyesha hapa hapa watu tuone, km kweli hizo documents unazo, bdozen kwa mshahara wa laki6 anawezaje kumiliki maduka ya nguo classic?
Mjini upo toka lini mkuu?? Mbona hakuna jipya hapo. Twanga la twiiiiz ni mke wa mtu huyo.
hii hutokea endapo unafanya kitu cha ziada kwenye kituo, mfano Nugaz hayuko busy sana kwenye kuendesha kipindi chake pia ni PM Kule Choice fm, mshahara wake unawez kuwa hata laki9 take home, but utakuta analeta dili ntingi sana za matangazo+anafanya sauti kwenye matangazo mengi hiyo inapelekea kwa mwezi apokee hata milioni3 mpaka4Nimepata bahati ya kumsikiliza ndugu Antonio Nugaz katika mahojiano na kituo fulani na kujisifia kuwa ndio mtangazaji anayelipwa zaidi pale Clouds Media Group.
Lakini hii inaleta tafsiri kuwa kuna kitu zaidi ya umaarufu kinachozingatiwa katika media, kuna wanaoajiriwa kutokana na CV zao na wengine kutokana na vipaji vyao.
Sio kweli nduguhakuna mtangazaji yeyote wa clouds anaelipwa salary zaidi ya laki 6..kama huamini nitafute inbox nikuonyeshe documents.