comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 3,411
- 4,435
Mademu over here, mademu over there!Gadner ni mwishooo
Lile la nandy kauwa sanaaa mulee
"Wanamuziki mademuuu,ma dj mademuuu,mabaucer nao full ngongingo mademuuu""
Duh! Bro tangazo nalikubali sana lileAaah wale ni Maarifa the Big Thinker msanii wa Madee alietoa ngoma na Janjaroo juzi hapa inaitwa Acha iwe,,Alaf yule mwingine wa 'Bundle imenona sijui imelishwa nini'anaitwa Black MC alishinda Freestyle Buttle kwenye Open Mic.
kabisa mkuu Nugaz n kibokoNugaz ni nuksi sana yule Dingilii
haswa matangazo ya ndondi uyampenda japo kote alikuwa n killerRIP kibonde alikua hatari,then capitain,nugaz.
Nakumbuka tangazo la kibonde la yanga daaah
hayupo kwenye vipindi vya radio n hata huko kwenye Tv sidhan kama n kipindi pendwa sanaHuyo Mtembez yuko vzuri ila sijui kwa nn hafahamiki sana
hahahaaaa hii thread n kwa ajili ya clouds listenerHayo matangazo yote sijawahi yasikia
Unaweza weka hapa tuyasikilize wote mkuu
Habarini za muda huu wadau..Nimekua nikifatilia matangazo mengi sana ya Redio na Tv hapa Bongo especially Clouds FM na TV.
Clouds FM haiwezi kupita siku bila kuskia tangazo la Phillip Mwihava,Gadner G.Habash na Antonio Nugaz.
Antonio Nugaz(Mtembezi)anae'run kipindi cha Kambi popote pale Clouds TV ambae pia ni Mshereheshaji'MC' wa sherehe mbalimbali,akiwa pia kasomea mambo ya ICT,Huyu jamaa huchoki kuskiliza matangazo yake na ana uwezo wa ku'create Matangazo ya aina nyingi na kuyatia nakshi na mbwembwe au Udambwi udambwi mwingi alaf yanavutia kinoma yaani,Iwe matangazo ya Mpira,Vyuo,Shule...Mfano matangazo ya Yanga wiki ya mwananchi,Kikosi cha Simba,Ni vita ya Tanzania na Congo kwenye Masumbwi nk.
Phillip Mwihava ni Mtangazaji wa Kipindi cha Powerbreakfast on Saturday,pia ni Mshereheshaji'MC'na Producer/Muandaaji wa Kipindi cha Powerbreakfast cha asubuhi saa1 hadi4 cha kina Barbara Hassan,Sizza,Masoud Kipanya na Fredwaa,,,Huyu jamaa anafanya na kusoma matangazo mengi sana ya Vyuo,Shule,biashara kwa utulivu sana..Hakika hachoshi kumsikiliza.
Captaaaaiiiiinnnn Gadner G.Habash,Huyu Dingilii ni Mwanzilishi na Mtangazaji wa Kipindi cha Jahazi la Clouds FM saa10 hadi Saa1 Usiku akiwa na George Bantu na Paul James'PJ'pia nae ni Mshereheshaji'MC'Yupo kama Mtembezi matangazo yake yana Mbwebwe na udambwidambwi mwingi sana unaovutia,Gadner hu'create na ku'air matangazo ya Show mbalimbali za wasanii mfano Nandy festival,East Africa Got Talent Pamoja na Fiesta,pia hufanya matangazo ya Burudani kama vile Boxings,Football match nk.
Swali ni jee..?Yupi unaemkubali kwa matangazo kati ya hawa raia mtu3?
@ChaliiYaKijengeJuu.
Mmoja ni maarifa toka MMB manzese chini ya madee anangoma yake kali sana yuko na dogo janja inaitwa acha iweGadna hatarii sana yule jamaa
Mimi nataka kuwajua wale jamaa walio rap lile tangazo la halotel..wanajua sana wale
Muongo wewe..yuko Wasafi nowRaymond Mshana mzee wa Total Request..Nowdays hatangazi japo bado ni mwanafamilia wa Clouds.
Khaa.!!Lini tena mkuu?Wasafi Media wamechukua dhahabu trust me..anafanya pindi gani pale au yupo kwenye production??
Duuh Balaa Zito.ni muda kidogo kama miezi mitatu hivi, yupo kwenye production bablai, anatengeneza matangazo tu kwa sasa
Yuko wapi jamaa?Wote wachumba tu m naipenda kusikia sauti za dhahabu kwny jingle kama ya Steve Kafire.
πππ sijabahatika kulisikia hili tangazo lkn limenifurahisha Sana...na ule utangazaji wa G ..daah!!Gadner ni mwishooo
Lile la nandy kauwa sanaaa mulee
"Wanamuziki mademuuu,ma dj mademuuu,mabaucer nao full ngongingo mademuuu""