Antonio Nugaz, Captain Gadner G.Habash na Phillip Mwihava, nani mkali wa matangazo?

Antonio Nugaz, Captain Gadner G.Habash na Phillip Mwihava, nani mkali wa matangazo?

Aaah wale ni Maarifa the Big Thinker msanii wa Madee alietoa ngoma na Janjaroo juzi hapa inaitwa Acha iwe,,Alaf yule mwingine wa 'Bundle imenona sijui imelishwa nini'anaitwa Black MC alishinda Freestyle Buttle kwenye Open Mic.
Duh! Bro tangazo nalikubali sana lile
 
Mmesikia haya matangazo ya simba na yanga kuelekea simba day na week ya wananchi ....? Nugaz ni nyoko
Waaapeee salam wapate salam majiran.....................
 
Habarini za muda huu wadau..Nimekua nikifatilia matangazo mengi sana ya Redio na Tv hapa Bongo especially Clouds FM na TV.
Clouds FM haiwezi kupita siku bila kuskia tangazo la Phillip Mwihava,Gadner G.Habash na Antonio Nugaz.
Antonio Nugaz(Mtembezi)anae'run kipindi cha Kambi popote pale Clouds TV ambae pia ni Mshereheshaji'MC' wa sherehe mbalimbali,akiwa pia kasomea mambo ya ICT,Huyu jamaa huchoki kuskiliza matangazo yake na ana uwezo wa ku'create Matangazo ya aina nyingi na kuyatia nakshi na mbwembwe au Udambwi udambwi mwingi alaf yanavutia kinoma yaani,Iwe matangazo ya Mpira,Vyuo,Shule...Mfano matangazo ya Yanga wiki ya mwananchi,Kikosi cha Simba,Ni vita ya Tanzania na Congo kwenye Masumbwi nk.
Phillip Mwihava ni Mtangazaji wa Kipindi cha Powerbreakfast on Saturday,pia ni Mshereheshaji'MC'na Producer/Muandaaji wa Kipindi cha Powerbreakfast cha asubuhi saa1 hadi4 cha kina Barbara Hassan,Sizza,Masoud Kipanya na Fredwaa,,,Huyu jamaa anafanya na kusoma matangazo mengi sana ya Vyuo,Shule,biashara kwa utulivu sana..Hakika hachoshi kumsikiliza.
Captaaaaiiiiinnnn Gadner G.Habash,Huyu Dingilii ni Mwanzilishi na Mtangazaji wa Kipindi cha Jahazi la Clouds FM saa10 hadi Saa1 Usiku akiwa na George Bantu na Paul James'PJ'pia nae ni Mshereheshaji'MC'Yupo kama Mtembezi matangazo yake yana Mbwebwe na udambwidambwi mwingi sana unaovutia,Gadner hu'create na ku'air matangazo ya Show mbalimbali za wasanii mfano Nandy festival,East Africa Got Talent Pamoja na Fiesta,pia hufanya matangazo ya Burudani kama vile Boxings,Football match nk.
Swali ni jee..?Yupi unaemkubali kwa matangazo kati ya hawa raia mtu3?
@ChaliiYaKijengeJuu.

Captain usimlinganishe na Antonio Nugaz, kila mtu ana eneo lake la kujidai, Antonio Nugaz hafanyi matangazo ya Burudani sana ambayo Gardner ndio mahala pake, Mwihava ni mtaalamu sana wa Classified matangazo ya kusoma sio kama ya kina Captain na Nugaz, so yuko kivyake labda umuweke na akina John Jackson, Sophia Kessy na Jacqueline Kombe
 
Gadna hatarii sana yule jamaa

Mimi nataka kuwajua wale jamaa walio rap lile tangazo la halotel..wanajua sana wale
Mmoja ni maarifa toka MMB manzese chini ya madee anangoma yake kali sana yuko na dogo janja inaitwa acha iwe
 
Nilimkubali sana gadner fiesta iliyopita..hadi rey mshana kuna kipande kamuiga kwenye wasafi festival ya sasa
 
Khaa.!!Lini tena mkuu?Wasafi Media wamechukua dhahabu trust me..anafanya pindi gani pale au yupo kwenye production??

ni muda kidogo kama miezi mitatu hivi, yupo kwenye production bablai, anatengeneza matangazo tu kwa sasa
 
Gadner ni mwishooo

Lile la nandy kauwa sanaaa mulee

"Wanamuziki mademuuu,ma dj mademuuu,mabaucer nao full ngongingo mademuuu""
😄😄😄 sijabahatika kulisikia hili tangazo lkn limenifurahisha Sana...na ule utangazaji wa G ..daah!!
 
Back
Top Bottom