Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Huyu jamaa kwenye nyundo za Baruan Mhuza kasema anapoenda kufanya kitu au kuongea kwenye media lazima awashirikishe wake zake na kumshauri nini anaenda kusema. Baruan akamwuliza: Je, wake zako wanajua mambo ya branding and football? Jamaa akajibu "Yes mke wangu mkubwa anajua sana football"
Huyu jamaa ni kichekesho naona fani ya mpira kavamia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa ni kichekesho naona fani ya mpira kavamia.
Sent using Jamii Forums mobile app