permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Kafanya vizuri kuikataa Spurs, sijui hata Mourinho nini kilimpeleka huko. Dani Levy anataka wachezaji wa kawaida sana tena walietwa kwa mkopo ili kuimarisha viwango vyao wampe makombe tena yale makubwa.Conte hata spurs kawakataa..jeuri
. arsenal hawatamuweza