Antony Joshua Vs Andy Ruiz 2, tukutane hapa kwa updates

Yule Mbongo ni teja hakyamama ...yaani teja la Buza mamaee ..
 
Ila huyu Hunter kama anakumbatia mno,au ndo mbinu ya mchezo
Kila mmoja anapoingia ulingoni lazima ana game plan yake, at last kapata draw kutoka kwa mkongwe kama Alexander Povetkin.
 
Waacha tuone ngumi Sasa

Lakini bondia aliepigana na. Selemani said kapigana mapambano 7 kashinda 6 kwa KO na 1 point na leo kaongeza jingne KO KWAHYO KAPIGNA 8 MAPAMBANO 7 KO
 
mmatumbi mwenzetu selemani saidi kachapika dakika za mwanzo tu za round ya kwanza.

ila fresh tu, karahisisha mda ili twende kwenye main fight.[emoji16][emoji16]
 
Ili uende imabidi ujuane na watu
Aisee, yaani unapata fulsa ya kuitangaza nchi kwenye Jukwaa Jipya Kama hili halafu unaokoteza watu wa mtaani kwanda kutuwakilisha nchi katika masumbwi ?
Promota akirudi nchini ni lazima akamatwe na ahojiwe kule ni kuiabisha nchi.
Yule Selemani Saidi sidhani Kama ni Bondia.
 
Promota anazingua. Anapata sehemu kubwa anapeleka wazembe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…