Hamna ngumi hapa. Joshua anakimbia tu. Wasimlipe pesa zake.hakupandishwa kwenye ring kwa kazi ya kukimbia ulingoni. Hovyo kabisa.
Karaha tu pesa yangu nilikaaa bar kula monde Bora ningekuwa na bint mzuri kuliko kuangalia upumbavu huu wa AJMi nilijua mapema leo hakuna ngumi za maana
Lijamaa Lina ngumi nzito balaa na ndo kimemsaidia Sana AJ. Ila hata yeye sio habaMbinu ya mchezo,kumsogelea Ruiz ilikua ni hatari sana
Hvi Nyie mlitaka AJ afe uwanjani!??Tumekosa Radha ya ndondi kabisaaaa yaaani
Basi hakika umemsaidiaJoshua itakua alipewa ushauri na Maywether
Hakuna ngumi kabisa ni kurukaruka tu mpaka inashangaza.Kwa hali hii Joshua kwa Wilder hachomoki
Tulitaka ushindi wa burudaniHvi Nyie mlitaka AJ afe uwanjani!??
Msingi mbinu tu
AJ karuka ruka tu afu ndiyo mbinu eti.?Halafu kuna kiande humu aliandika uzi eti Mike Tyson alikua overrated.
Mimi ndiyo maana wakati mwingine sifuatilii hii michezo hasa mpira na ndondi. Mambo ya ujanja ujanja tu. Bora riadha haina janja ya nyani. Mpira na ngumi vilishaondoka na wenyewe. Siku hizi ni wasanii tu.