Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,328
- 7,784
Fighting technics hizo mkuu hasa unapopigana na mtu Kama AR Jr au Mike Tyson, kumbuka Lennox Lewis alivyomkalisha Tyson
Hamna ngumi hapa. Joshua anakimbia tu. Wasimlipe pesa zake.hakupandishwa kwenye ring kwa kazi ya kukimbia ulingoni. Hovyo kabisa.