Kivipi yaani, zile KO 21 zote kashinda kijanjajanja?Hapa ndio nakumbuka maneno ya Tyson Fury akimzungumzia AJ, nanukuu, " AJ is not a boxer, he is just a body builder," AJ hana skills zozote za boxing zaidi ya kushinda kijanja janja
Ukute hujawahi piganaHakuna utamu wa ngumi inapendeza kupigana kwa ushindani siyo kurukaruka na kushika kila mara mpaka inachukiza mmexico kacheza vyema tena kwa kujiamini bila kurudi nyuma.
Umeandika vizuri mkuu.Hawaelewi hawa vijana
AJ angekuwa anajiamini kuhusu pumzi zake zisikate, angeweza kufanya vizuri zaidi kwenye raundi tatu za mwisho kwa ku apply a constant pressures kila anapoona upenyo.Kumshinda Ruiz inakubidi uwe mvumilivu hadi mwisho ili uje uambukie ushindi wa Points tu. Hakuna short cut ya kumshinda Ruiz zaidi ya uvumilivu ili uvute points
Angeweza kumKO sema alikuwa anajihadhari sanaAJ angekuwa anajiamini kuhusu pumzi zake zisikate, angeweza kufanya vizuri zaidi kwenye raundi tatu za mwisho kwa ku apply a constant pressures kila anapoona upenyo.
Tatizo ametumia staili ya slugger mwanzo mwisho. Zile KO's ktk game la kwanza labda zilikuwa bado ktk mind yake.
Kabisaaaa!
Ni kama kwenye soka tu pia. Eti watu wawili miaka zaidi ya 10 wanabadilishana uanasoka bora. Michezaji haina ubunifu. Na kweye ndondi ni ujanja ujanja wanatuletea habari za mbinu. Tukihoji tunaambiwa hatujui boxing. Watu tunataka ladha bwana.
Kwani mkuu we unataka ngumi za aina gani? au zile za kurushiana mfululizo ili atakayekula ya kichwa au kidevu aende chini pambano liishe?
Ninachoamini ni kwamba, pamoja na nguvu kuhitajika sana lakini ushindi ni akili.
Katika mazingira ambayo unahisi KO ni ngumu, basi dokoa au fanya chochote kile uibuke mshindi.
Halafu mbona huyo jamaa yenu amechezea sana za uso? . Ndugu kuchambua/kukosoa in rahisi lakini practice ni ishu nyingine
Ni kweli yule Mcrotia baada ya kuulizwa anajisikiaje mpinzani wake kulalamika kumchezea foul kwa kumpiga ngumi nyuma ya kichwa.Mcrotia alijibu hii ni vita mtu unatumia silaha zote ulizonazo.Ulimsikia yule Mcrotia alivyosema alipoulizwa mbona umempiga mwenzako ngumi za kisogoni ,alijibu "This is war......" Kwa hiyo AJ kushinda kijanja ni mbinu za medani (field craft)
Dillian whyte mtoe huyu JAMAA mzito sana halafu pumzi kisodaHamuwezi Fury na Wilder na Whyte na Parker na Wengi tu
Na alilijua hilo ndio maana akawa anacheza KWA tahadhari sana naona huyo mmarekani-mMexico Ali interrupt interview ya AJ kuomba rematch for the third time,trust me asirudie TENA atapigwa VIBAYA mno,sema AJ angepigwa angepoteza thamani yake yote, alikuwa makini sana
Wilder pambano la juzi alipoteza round zote hadi ile ngumi ya kichawi ilipoua mtu. Hizo round alizopoteza ingekuwa ni makonde ya Ruiz angepigwa KO.Hii mbinu akitumia kwa Wilder haitafanya kazi.
Wote warefu kwa hiyo ni rahisi ngumi ya Wilder kufika , halafu kingine Wilder kukuvaa haoni hasara.
White alishapigwa KO na Joshua, ingawa wapambana vikali mpaka alipootewa round za mwishoni. Ingawa whyte nae alishamshinda Joshua when they were in amateur boxing!Dillian whyte mtoe huyu JAMAA mzito sana halafu pumzi kisoda
Ila Fury Ni Sugu Sana, Hata Wilda alichemka kumpiga kwa Knok Out. Linadondoka linaamka linaendeleaHamuwezi Fury na Wilder na Whyte na Parker na Wengi tu
Wilder IS THE BEST OF ALL..
Whyte ana ngumi nzito Jana alimtandika sana yule mzungu japokuwa whyte naye pumzi tatizo alikuwa anahema sanaWhite alishapigwa KO na Joshua, ingawa wapambana vikali mpaka alipootewa round za mwishoni. Ingawa whyte nae alishamshinda Joshua when they were in amateur boxing!
MCHEZO WA NGUMI HAUFANYIKI NDANI YA SHUKA tunauona live , hizi mambo mnatuambia kila siku hatujui eti kisa ngumi za kichwa
Tuliwezaje kuwashabikia akina MIKE IRON TYSON?
Ila Fury Ni Sugu Sana, Hata Wilda alichemka kumpiga kwa Knok Out. Linadondoka linaamka linaendelea
Bab huwajui wabongo? kila kitu wanajua wao,ukiskia wanavyoongea na kuchambua mambo utasema Loh mbona wataalam ndo hawa sa tunakwama wapi kwenye medani za kimataifa?, kumbe babu nyerere katurishisha tantantalila nyingi kuliko akili alizokufa nazo peke yake....hahahahaWalio wengi humu inaonekana sio wafuatiliaji wa huu mchezo, na kama ni wafuatiliaji basi ni kwa msukumo tu wa humu... Unawezaje kusema Joshua alikuwa anarukaruka tu? Mmeviona vile vitasa vya kichwa alivovipata tetema?
Mchezo uliopita wote tuliona kitu kilicho mcost AJ ni kumsogelea huyu jamaa na watu wengi walilalamika kuwa AJ ana reach kubwa na mwepesi kapigwaje?
Alichofanya leo ni kuyafanyia kazi yale mapungufu yake, yaani;-
~Kumweka mbali mpinzani wake ambaye ni mzuri kwenye "close combat" kuliko yeye,
~Kuitumia mikono yake mirefu kupata pointi muhimu,
~kukwepa asiwekwe kwenye kamba (kitu ambacho hata bondia wetu mwakinyo kilimkost sana),
Hii ikamfanya AJ kuwa mbali na "agressive fights" za Ruiz ambaye alikuwa akimforce awe naye kwenye "close range" kwa vile ana mikono myepesi na ngumi yake ni nzito
Hivo tuache kubeza kile kilchofanywa na AJ, boxer yeyote angefanya hivo. Hata Tyson yule wa ubora wake angefanya hayo ya AJ, na Wilder naye kwa ule uslow wake anaweza kalishwa vizuri tu na Destroyer
nani atapigwa vibaya mno?Na alilijua hilo ndio maana akawa anacheza KWA tahadhari sana naona huyo mmarekani-mMexico Ali interrupt interview ya AJ kuomba rematch for the third time,trust me asirudie TENA atapigwa VIBAYA mno,
Chibonge Andy Ruiz this time atapigwa TKO au KOnani atapigwa vibaya mno?