Walio wengi humu inaonekana sio wafuatiliaji wa huu mchezo, na kama ni wafuatiliaji basi ni kwa msukumo tu wa humu... Unawezaje kusema Joshua alikuwa anarukaruka tu? Mmeviona vile vitasa vya kichwa alivovipata tetema?
Mchezo uliopita wote tuliona kitu kilicho mcost AJ ni kumsogelea huyu jamaa na watu wengi walilalamika kuwa AJ ana reach kubwa na mwepesi kapigwaje?
Alichofanya leo ni kuyafanyia kazi yale mapungufu yake, yaani;-
~Kumweka mbali mpinzani wake ambaye ni mzuri kwenye "close combat" kuliko yeye,
~Kuitumia mikono yake mirefu kupata pointi muhimu,
~kukwepa asiwekwe kwenye kamba (kitu ambacho hata bondia wetu mwakinyo kilimkost sana),
Hii ikamfanya AJ kuwa mbali na "agressive fights" za Ruiz ambaye alikuwa akimforce awe naye kwenye "close range" kwa vile ana mikono myepesi na ngumi yake ni nzito
Hivo tuache kubeza kile kilchofanywa na AJ, boxer yeyote angefanya hivo. Hata Tyson yule wa ubora wake angefanya hayo ya AJ, na Wilder naye kwa ule uslow wake anaweza kalishwa vizuri tu na Destroyer