Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Bado mapema mno.Atakayeshinda kwenye pambano hili bila shaka atapigana na mshindi wa pambano la Fury/Wilder ili mmojawapo alambe mikanda yote 'undisputed'
Halafu huyu jamaa naona ana pambwa pambwa sana hv hili pambano lake la mwisho na Ortiz zaidi ya kuotea ile Ko kuna kipi cha maana alikifanya toka round ya kwanza? Kama pambano lingeishia vile Ortiz angeshinda kwa points!Wilder alikuwa anamwogopa AJ kabla hajapigwa na Chibonge
Sasa wewe kwa akili yako Tyson Furry na AJ yupi bondia mzuri hapo?Sasa mbona kipindi Joshua ametangaza pambano na Ruiz baada ya Bigbaby Miller kuenguliwa ghafla Wilder akatangaza Rematch za Ortiz na Fury na akasema ameshasign hayo mapambano kitu ambacho hakikuwa kweli maana hadi sasa haijawa confirmed kama atapigana na Fury, hiyo yote mradi tu amkwepe AJ maana alipokuwa kwenye mahojiano US AJ aliweka wazi kwamba akimpiga Ruiz kinachofuatia ni match ya Wilder kama atakubali[emoji38][emoji38]
Dhulma ipi?Pambano la Juzi Wilder na Ortiz,... ilikuwa dhulma dhidi ya Ortiz. Nashindwa kuelewa marefa wakati mwengine. Au sijui ndio maelekezo kutoka juu
Mashabiki wa Andy tutaondoka tarehe ileile kama tulivyopeana taarifa hapo awaliZimebaki siku 4 tu tushuhudie lile pambano litakalosimamisha dunia kwa dakika kadhaa lililopewa jina CLASH ON THE DUNES ambapo litafanyika Saudi Arabia.
Pambano hili limekuwa likisubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa ndondi duniani, hii ni baada ya AJ aliyekuwa bingwa na kipenzi cha watu kupigwa pambano la kwanza lililofanyika June 1 kitu ambacho wengi hawakuwaza, na pambano hilo kuwekwa katika kumbukumbu ya one of the biggest boxing upsets of all time. Je AJ ataweza kurejesha mikanda yake aliyopoteza? Tusubiri Jmosi.
Ha ha ha, hata pambano la kwanza mlisema hivyo hivyo kaotea na Ortiz aliamini kweli jamaa amemuotea.Halafu huyu jamaa naona ana pambwa pambwa sana hv hili pambano lake la mwisho na Ortiz zaidi ya kuotea ile Ko kuna kipi cha maana alikifanya toka round ya kwanza? Kama pambano lingeishia vile Ortiz angeshinda kwa points!
Hivi unamfahamu ortizi?wana masumbwi wengi wanamkimbia ila Wilder kapigana nae mara mbili na zote kashinda kwa KO.huyo AJ hamwezi Ortiz wala fury.kwanza ata huyu Andy Ruiz junia hamwezi maana anakalishwa tenaHa ha ha, hata pambano la kwanza mlisema hivyo hivyo kaotea na Ortiz aliamini kweli jamaa amemuotea.
Kaomba pambano la pili mwisho wa siku kapokea tena kichapo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwanzoni Wilder alitaka kupigana na Fury kwavile alifikiri ameisha, kutokana na alikuwa ametoka kwenye uathirika wa madawa ya kulevya na alikuwa hajapigana mda mrefu, alichokutana nacho baada ya kupigana naye ni tofauti kabisa. Fury ni bondia bora kuliko wote wa heavyweight in terms of skills n' technics, but he lacks powerSasa wewe kwa akili yako Tyson Furry na AJ yupi bondia mzuri hapo?
Yaani na nimi naomba Adundwe tena...ili apate adabu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]AJ tangu atandikwe na Andy Ruiz ,nuru ya furaha imepotea kabisa usoni mwake ,yani amekuwa mtu wa stress nyingi .
Safari hii akipigwa tena anaweza akafa kabisa kwa mawazo.
Wilder have nothing abt boxing skills, he need only 1punch to win fightHalafu huyu jamaa naona ana pambwa pambwa sana hv hili pambano lake la mwisho na Ortiz zaidi ya kuotea ile Ko kuna kipi cha maana alikifanya toka round ya kwanza? Kama pambano lingeishia vile Ortiz angeshinda kwa points!
Mapambano atayapata, unajua jina lake linauza kuliko bondia yoyote (ukiondoa Canelo), sema thamani yake na legacy itakuwa imeshuka sana. Kila bondia Heavyweight anatamani apigane na AJ ndipo kwenye hela kwa sasa
Litakuwa saa ngapi?
Umechanganya mzee