Hee! Ndo upi huo?
Ule mchezo wa Kocha aliyejenga shule kule umasaini Tanzania...
Hili pambano nafananisha na pambano ambalo lennox lewis alipigwa na underdog mmoja ivi tena round ya 3 na kipindi icho kumbuka lewis alikuwa kwny prime yake yani undisputed champion baada ya kuwa na mataji kadhaa....rematch hutskiwi ata kuuliza lennox alimfanya nini uyu jamaa....andy ruiz akitaka kushnda apigane for fun ie kwa kuenjoy amchukulie chukulie round adi 7 iv cz mda huo AJ atakuwa kachoka sana cz ataingia kwahasira na atataka amalze mapema....game naipa 50/50
Huo mchezo ndo wa Wazungu?
Nilisoma kitambo nahisi ni boxing highlight au boxing guru ndiyo waliisema hii.Mkuu hii si kweli.
Hali ya Instagram followers leo tar 5, ngoja tuone nani ataongeza followers wengi baada ya pambano lao tar 7View attachment 1282371
Size doesn't matter, huko chini kuna wapiganaji wengi wazuri kuliko heavyweight ambayo ina majina machache yenye ubora ndio maana kilasiku tunawasikia kina Wilder,AJ na Fury. Zamani ndio kulikuwa na mambo hayo kwamba mabondia waliokuwa wakitupiwa jicho ni wa uzito wa juu, ila baada ya kizazi cha kina Mike Tyson kupita ikaonekana kwenye uzito wa juu hakukuwa na mabondia wazuri/wenye ushawishi kwa kipindi kirefu, hivyo attention ya wadau na mashabiki ikahamia kwenye uzito wa chini, ndipo kina Mayweather ambao walionekana kuwa bora walipojivunia mashabiki. Ila hata AJ ana potential ya kupiga hela na kujivunia mashabiki kama Mayweather au kuzidi, coz hadi sasa kacheza mapambano 23 tu na umri bado unaruhusu, ila hilo litatokea kama atatengeneza rekodi nzuri, kashapata loss mapema, wakati Mayweather kamaliza career yake na 50-0floydmayweather
Verified
Floyd Mayweather
- 971 posts
- 22.9m followers
- 236 following
www.mayweatherpromotions.com
Mayweather anapigana kwa uzito wa chini ni vipi ana followers wengi kuliko hii miamba ya Heavy weight? halafu pia nimeshangaa kuona kuwa katika ma boxer tajiri duniani huyu bwana ni namba moja na AJ anashika namba 11 je hapo kuna science gani?
vipik2 Halafu kwa sasa bondia wa uzito wa kati 'Canelo' ndio ana mkataba wa pesa ndefu kuliko mwanamichezo yeyote, hapo inaonesha kwamba size doesn't matter, ni jinsi tu unavyoweza kutengeneza ushawishi ulingoni
Bando la 18,000. Muda ni kuanzia saa1 jioni kama sijakosea, channel no123Asante mkuu, turudi kwenye jambo la muda wa mtanange ni saa ngapi kwani hata Azam wanatoa tu tangazo kuwa watatangaza kwa channel 126 lakini hawasemi ni kuanzia saa ngapi na haijulikani kama mapambano mengine/undercard kama wataonyesha halafu hiyo channel 126 sijui ipo kwenye bando lao la shillingi ngapi
Jamaa alisifia six pack mkuu au nini?sijaelewa hapa!Mimi nataka apigwe ili sisi wenye vitambi tuendelee kuwa na heshima huku mtaani,maana tumedharaulika sana.....
Chriss Eubank Jr naye atapigana siku hiyo japo yeye siyo heavyweight.Face-off;
1.JOSHUA Vs RUIZ
2.Povetkin vs Hunter
3.Whyte vs Wach
4.Molina vs Hrgovic
View attachment 1282414View attachment 1282415View attachment 1282416View attachment 1282420
Swali la kijinga sana.floydmayweather
Verified
Floyd Mayweather
- 971 posts
- 22.9m followers
- 236 following
www.mayweatherpromotions.com
Mayweather anapigana kwa uzito wa chini ni vipi ana followers wengi kuliko hii miamba ya Heavy weight? halafu pia nimeshangaa kuona kuwa katika ma boxer tajiri duniani huyu bwana ni namba moja na AJ anashika namba 11 je hapo kuna science gani?
Swali la kijinga sana.
Face-off;
1.JOSHUA Vs RUIZ
2.Povetkin vs Hunter
3.Whyte vs Wach
4.Molina vs Hrgovic
View attachment 1282414View attachment 1282415View attachment 1282416View attachment 1282420
Nilichojifunza kwenye boxing, ni kwamba sio kurusha rusha ngumi kama unacheza ngoma, unaweza rusha ngumi chache zenye point na ukashinda, bwana bonge ruiz kutoka mexico, ni mjanja sana nimecheki clip zake za mazoezi pamoja a interview zake jamaa anajijua aki fight kwa kukamia atawi kuchoka na kumpa nafasi AJ ushindi mrahisi, kwa upande wa bwamdogo AJ yeye kitakachomgharimu ni kuigia uwanjani na matokeo hilo tuu, kwa upande wangu natamani Ruiz ashinde hili pambano