Antony Joshua Vs Andy Ruiz 2, tukutane hapa kwa updates

Ruiz kama atafika mpaka 7-8 rounds atashinda ila sioni kwa yeye kufika hizo rounds, what im tel u Joshua anaitaka mikanda yake kwa namna yeyote ile
 
Ruiz kama atafika mpaka 7-8 rounds atashinda ila sioni kwa yeye kufika hizo rounds, what im tel u Joshua anaitaka mikanda yake kwa namna yeyote ile

Halafu tusisahau kuwa michezo mikubwa namna hii huwa haikosi figisu figisu za ndani nasema hivyo kwa sababu mchezo kupelekwa Saudi Arabia ndani yake kuna siasa na siasa hizo hizo ndizo zinaweza kutuletea mshindi wa clash on the dunes
 
Halafu tusisahau kuwa michezo mikubwa namna hii huwa haikosi figisu figisu za ndani nasema hivyo kwa sababu mchezo kupelekwa Saudi Arabia ndani yake kuna siasa na siasa hizo hizo ndizo zinaweza kutuletea mshindi wa clash on the dunes
Saudia wametoa mzigo mkubwa ndio maana limepelekwa uko, boxing mchezo wa wazi only strong survive, kuondoa figisu yapaswa kushinda kwa KO
 
Kesho Mpira wa mwisho EPL itakuwa ni Man City na Man United utakaoanza 20.30 na kuisha around 22.00 na undercard wanategemewa kuanza saa 5 au 6 usiku endapo utaangalia TV kubwa kubwa, je kesho kuna kulala?
Siku ya kesho nimeitoa kwa ajili ya burudani tu, na jumapili itakuwa siku ya kulala. Baada ya ushindi wa Man U, nitahamia kumshabikia AJ arudishe mikanda yetu nikisindikizwa na Balimi, sijui kama Bar hawatatufukuza[emoji3][emoji3]
 
Kwanini unasema ataingia na matokeo wakati ametoka kupoteza first fight?
 
Ruiz kama atafika mpaka 7-8 rounds atashinda ila sioni kwa yeye kufika hizo rounds, what im tel u Joshua anaitaka mikanda yake kwa namna yeyote ile
AJ arudishe mikanda yake aisee, hii mikanda ikikaa kwa Ruiz akyanani Wilder ataichukua kiurahisi sana[emoji3][emoji3][emoji3]
 

Andy Ruiz & Anthony Joshua Face-Off For Final Time Ahead Of Giant Rematch
 
Wataalamu wa muda mtusaidie kuconvert kwa muda wa Tanzania
 
Mimi naamini AJ atashinda, it was just a bad day in the office


Nafasi ya kushinda bado ni very slim, Andy Ruiz anayokasi kubwa kuliko Joshua hilo ndiyo tatizo la Joshua, Jushua Yupo slow na ana power.

Ili ashinde ni lazima afanye mambo haya; 1-- Asipigane "in inside" , yaani anatakiwa a keep distance huku akimshabulia kwa mbali, uwezo huo kwa sasa anao ukizingatia 1- ni mwepesi sana kuliko Ruiz 237 pound, wakati Ruizi ni 286 pound, pia Joshua ni mrefu na reach yake ni kubwa kuliko Ruiz ambaye ni mfupi kwa kimo na mikono ukilinganisha na Joshua, Umbo la Ruiz ni suitable for inside fighting kitu ambacho Joshua aliyekuwa overrated hakujua au alikipuuza, angeangalia jinsi yule bondia wa Newzealand (joseph parker) alivyosumbuliwa na Ruiz hapo ingekuwa ni somo kubwa kwa Joshua katika ule mpambano wa kwanza.


Hayo niliyosema itakuwa ni ngumu sana kwa Joshua kuyatekeleza kwani hakufunzwa hivyo, yeye kafunzwa agressive type of fighting with poor defence kitu ambacho ni chakula kwa Ruiz mwenye mikono yenye kasi kubwa, ngumi moja ya Joshua kwa ngumi 3 za Ruiz, unaweza kucheza na hiyo kasi???🤣
 
Azam wataonesha

Hawa hawaeleweki hawa,walishindwa kuonyesha gem ya yanga ya marudiano ya klab bingwa Afrika,tokea hapo siwaamini kabisa.

Sijui supersport ni channel gani itaonyesha au kama vp nijiunge na bando la kutosha niende mobdro tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…