Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Tayari keshachana jicho AJ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaa bora bana watu tulijidunduliza vibuku buku vyetu kwa ajili ya xmas sasa hili pambano ni kama linania ya kuvuruga bajetiHajafa bana! Kaka Mkubwa hizo rambi rambi kuleni tu
Jicho gani?Round ya kwanza.
AJ kamchana andy juu ya jicho.
Sema AJ mwoga sana. Hili pamvano alirakiwa ashambulie mapema
Huyu Promota ndiye aliyemtangaza Mwakinyowakati ule wa ushindi wa kwanza km mtakumbuka ndiye aliye-kalimani yale mahojiano ya ushindi kwa MwakinyoAisee, yaani unapata fulsa ya kuitangaza nchi kwenye Jukwaa Jipya Kama hili halafu unaokoteza watu wa mtaani kwanda kutuwakilisha nchi katika masumbwi ?
Promota akirudi nchini ni lazima akamatwe na ahojiwe kule ni kuiabisha nchi.
Yule Selemani Saidi sidhani Kama ni Bondia.
Tulia ntawasimuliaTusio na visimbuzi tunaonaje huo uhondo?
Mtanzani katangwa knock out round ya kwanza
Uko bar unagonga mvinyo Sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]huku pambano la endeleaHahahaa bora bana watu tulijidunduliza vibuku buku vyetu kwa ajili ya xmas sasa hili pambano ni kama linania ya kuvuruga bajeti