Antony Joshua Vs Andy Ruiz 2, tukutane hapa kwa updates

Antony Joshua Vs Andy Ruiz 2, tukutane hapa kwa updates

Yupo bondia mmoja ni british prospect anaitwa Daniel "Dynamite" Dubois "Triple D"-- Huyo ni hatari sana, Mabondia heavy weight WOTE hapo watakaa, labda atawezana na Yule anayeitwa New MIKE TYSON wa kule Marekani kwa sababu wote ni vijana na future prospects.
Wilder IS THE BEST OF ALL..
 
Hakuna utamu wa ngumi inapendeza kupigana kwa ushindani siyo kurukaruka na kushika kila mara mpaka inachukiza mmexico kacheza vyema tena kwa kujiamini bila kurudi nyuma.
hujui boxing wew...
 


Anthony Joshua vs Andy Ruiz Jr 2 Full Fight December 7, 2019
 
Fighting technics hizo mkuu hasa unapopigana na mtu Kama AR Jr au Mike Tyson, kumbuka Lennox Lewis alivyomkalisha Tyson
tatizo la wabongo ni wajuaji wa mdomoni sana,wamekariri boxing ni KO tu,hawajui hata maana ya fighting tekniki
 


Andy Ruiz Jr interrupts Anthony Joshua interview to demand THIRD fight following rematch defeat!
 


Anthony Joshua Immediate Reaction After Decision Win Versus Andy Ruiz Jr in Saudi Arabia
 
Walio wengi humu inaonekana sio wafuatiliaji wa huu mchezo, na kama ni wafuatiliaji basi ni kwa msukumo tu wa humu... Unawezaje kusema Joshua alikuwa anarukaruka tu? Mmeviona vile vitasa vya kichwa alivovipata tetema?
Mchezo uliopita wote tuliona kitu kilicho mcost AJ ni kumsogelea huyu jamaa na watu wengi walilalamika kuwa AJ ana reach kubwa na mwepesi kapigwaje?

Alichofanya leo ni kuyafanyia kazi yale mapungufu yake, yaani;-
~Kumweka mbali mpinzani wake ambaye ni mzuri kwenye "close combat" kuliko yeye,
~Kuitumia mikono yake mirefu kupata pointi muhimu,
~kukwepa asiwekwe kwenye kamba (kitu ambacho hata bondia wetu mwakinyo kilimkost sana),

Hii ikamfanya AJ kuwa mbali na "agressive fights" za Ruiz ambaye alikuwa akimforce awe naye kwenye "close range" kwa vile ana mikono myepesi na ngumi yake ni nzito
Hivo tuache kubeza kile kilchofanywa na AJ, boxer yeyote angefanya hivo. Hata Tyson yule wa ubora wake angefanya hayo ya AJ, na Wilder naye kwa ule uslow wake anaweza kalishwa vizuri tu na Destroyer
 
Hapa ndio nakumbuka maneno ya Tyson Fury akimzungumzia AJ, nanukuu, " AJ is not a boxer, he is just a body builder," AJ hana skills zozote za boxing zaidi ya kushinda kijanja janja
Ulimsikia yule Mcrotia alivyosema alipoulizwa mbona umempiga mwenzako ngumi za kisogoni ,alijibu "This is war......" Kwa hiyo AJ kushinda kijanja ni mbinu za medani (field craft)
 
Nilipenda JOSHUA ashinde ila sijaridhika, KO ndio ulikuwa ushindi wa maana hapa, hawa wote kwa Wilder hawavuki round ya 6
Kumshinda Ruiz inakubidi uwe mvumilivu hadi mwisho ili uje uambukie ushindi wa Points tu. Hakuna short cut ya kumshinda Ruiz zaidi ya uvumilivu ili uvute points
 
Mkuu umewakumbusha point msingi sana hawa vijana
Kiongozi! Siyo pambano la kuuana jombaa!

Andy ana ngumi nzito, ana head movement nzuri na mikono yake miyepesi na anarusha ngumi kwa kasi.

Andy ni killer machine. Ukimsogelea anakuua kwa sekunde chache tu!

Kinachotafutwa ni point! Joshua kapigana very good technically.. Ijapokuwa alikuwa anajisahau kwa sekunde kadhaa..

Na boxing ndivyo inavyosema! Mpinzani wa namna hiyo muhame! Ukisimama naye sura kwa sura utafia ulingoni.
 
Hawaelewi hawa vijana
Kiongozi! Umeshawahi kujifunza mchezo wowote wa ngumi?

Iwe Karate, Kung fu, Muay Thai au Boxing?

Siyo kila mpinzani unamuingia tu wengine ni hatari watakumaliza!

Inakubidi utumie mbinu na ufundi wa hali ya juu. Ndicho alichokifanya Joshua!

Andy ni killer machine, ukisimama naye ngumi kwa ngumi anakumaliza!
 
Back
Top Bottom