Bwana Mapesa
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,551
- 1,777
Wakuu kumekucha , yule mbabe wa Dunia wa Ngumi za kulipwa uzani wa juu ( Heavywheight Champion) Bondia Antony Joshua a.ka. AJ amepata challenge kutoka kwa Bondia Joseph Parker (New Zealand) na leo hii wamefanya Press Conference kuthibitisha utayari wao wakutwangana masumbi. Pambano kufanyika tarehe 31/03/2018 huko Cardiff Uingereza.
Haya sasa huku Team [HASHTAG]#Ajboxing[/HASHTAG] kule [HASHTAG]#TeamParker[/HASHTAG]
Karibuni
Haya sasa huku Team [HASHTAG]#Ajboxing[/HASHTAG] kule [HASHTAG]#TeamParker[/HASHTAG]
Karibuni