Antony Joshua Vs. Joseph Parker 31/03/2018 [Special Thread]

Hili pambano litakua gumu sana, japokua wengi wanampa nafasi AJ ya kushinda kutokana na historian yake lakini huyu Joseph Parker ana Stamina na speed Kali kwa hiyo tusije shangaa anamharibu na kumchafua chafua.
 
Hili pambano litakua gumu sana, japokua wengi wanampa nafasi AJ ya kushinda kutokana na historian yake lakini huyu Joseph Parker ana Stamina na speed Kali kwa hiyo tusije shangaa anamharibu na kumchafua chafua.
Umeongea bonge la poit mkuu huyu dogo watu wengi wanamchukulia kawaida tu lakini ana hatari yake
 
Maajabu, mleta mada tenda haki kwetu

Tarehe ngapi

SAA ngapi EAT

Ili taarifa iwenamanufaa kwetu
 
Pambano ni saa ngapi kwa masaa ya bongo?

Maajabu, mleta mada tenda haki kwetu

Tarehe ngapi

SAA ngapi EAT

Ili taarifa iwenamanufaa kwetu
No official ring-walk information has been provided as of yet but it is expected that Joshua and Parker will take to the ring no later than 10:30pm but perhaps earlier.(quoted from the telegraph)
Pambano ni kabla ya saa nne usiku leo 31/3/2018 saa za cardiff. Kwa kuwa cardiff iko masaa 2 nyuma ya saa za afrika mashariki, pengine pambano litakuwa usiku saa mbili au tatu usiku saa za afrika mashariki.Ila ndio hivyo, muda kamili haujawekwa.Kazi kwenu kukumbatia remote kuanzia saa mbili usiku leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…