Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hivi yale mabilioni yaliyokutwa nyumbani kwake aliyaiba wapi?Ficha upuuzi wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi yale mabilioni yaliyokutwa nyumbani kwake aliyaiba wapi?Ficha upuuzi wako
Na akina Mavunde si walikuwa wateule wake?Jiwe alikuwa mwizi sana
Muulizie Jiwe na Nguvu zake zote mbona hakumalizia miaka yake mi4 ?Kwamba wewe na nduguzo hamtakufa?
Uliyaona ama ndiyo nyie wa ...ati...Hivi yale mabilioni yaliyokutwa nyumbani kwake aliyaiba wapi?
Glenn mtu wangu ni wewe?ccm wote ni wezi
Huwezi kukosea...mzee wa DKGlenn mtu wangu ni wewe?
HahahaHuwezi kukosea...mzee wa DK
Vipi mgombani tunapanda?Hahaha
Mwaka huu naila hukuhuku kwenye pupweVipi mgombani tunapanda?
Yaani ni shida walipwe na fidia muda waliopotezewaAisee sasa si kuna watu labda hata walishafariki.aisee sio fair
Usisahau kula kile cha asili kinatunzwa na kuliwa wakati wa krimas tu cha Wadan😄🤣Mwaka huu naila hukuhuku kwenye pupwe
Mbowe na Lissu utampigia yupi kura?Jiwe aendelee kuchomwa moto
Kwani Tayari fomu zishatolewa?Mbowe na Lissu utampigia yupi kura?
Zikishatolewa utamchagua naniKwani Tayari fomu zishatolewa?
Hii mchi inajua kupeleka wananchi mcahaka mchaka jamani.Na wale waliodhurumiwa mauzo ya nguzo za umeme Mufindi inakuwaje?
na ndo kipindi mnashambulia mwamba LisuJiwe alikuwa mwizi sana
Acha ujinga ww. Mna baati waliokufa hawarudiJiwe alikuwa mwizi sana