desmond3076
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 279
- 184
Jana nilifatilia kongamano la usalama la mkuu wa mkoa wa Dodoma maeneo ya s/m kisasa, mkutano huu ulikuwa mbashara TBC TAIFA, kilichoniskitisha ni kupigwa marufuku kwa mapambio ya kumsifu Mungu wakati wa mikesha usiku, nimeskitika Sana , niseme huo ni ushetani, Mungu wetu hana mipaka katika kuabudiwa .
Hii ni kwa wote hata kwa ndugu zetu waislamu, maana Kuna mida ya kuabudu mpaka swala tano na ZINAENDA Hadi usiku.
Nchii inayo Uhuru wa kuabudu pasipokuingiliwa na serikari naona ANGUKO LA MTAKA LITAKUWA KUBWA KAMA ANGUKO LA NEBUKADNEZA MFALME WA BABELI.
Niseme Mungu apingwi na Kuna mashekh na manabii wenye nguvu , wakimlilia Mungu wao sidhani Kama atabaki salama.
Mheshimiwa MTAKA ajue kabisa " yupo anayeweka wafalme na kuuzuru wafalme, na yeye humuweka na kumuondoa amtakae" kwa hio aache watu wamsifu MUNGU, Maana wakuabidiwa ni Mungu pekee.
Hivyo Mungu mwenyewe anasema " aliyevaa asijisifu Kama avuae," yasije yakampata Kama ya senekaribu , acha watu wamuimbie Mungu wao na ndicho kilichobaki.
Maisha YENYEWE mafupi haya
Mbarikiwe.
Hii ni kwa wote hata kwa ndugu zetu waislamu, maana Kuna mida ya kuabudu mpaka swala tano na ZINAENDA Hadi usiku.
Nchii inayo Uhuru wa kuabudu pasipokuingiliwa na serikari naona ANGUKO LA MTAKA LITAKUWA KUBWA KAMA ANGUKO LA NEBUKADNEZA MFALME WA BABELI.
Niseme Mungu apingwi na Kuna mashekh na manabii wenye nguvu , wakimlilia Mungu wao sidhani Kama atabaki salama.
Mheshimiwa MTAKA ajue kabisa " yupo anayeweka wafalme na kuuzuru wafalme, na yeye humuweka na kumuondoa amtakae" kwa hio aache watu wamsifu MUNGU, Maana wakuabidiwa ni Mungu pekee.
Hivyo Mungu mwenyewe anasema " aliyevaa asijisifu Kama avuae," yasije yakampata Kama ya senekaribu , acha watu wamuimbie Mungu wao na ndicho kilichobaki.
Maisha YENYEWE mafupi haya
Mbarikiwe.