The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninaposema kuna shule za kusomea ujinga mnakuwa hamnielewi. Semeni wenyewe, huyo aliyeandika hayo shule alisomea nini zaidi ya ujinga?Bongo hapa kila kitu shida,kama mambo madogo haya yanakosewa hivi,je masuala serious itakuaje?
Kama Kingereza kimetushinda tukipe nguvu kiswahili.
Hii ndio nini sasa๐
View attachment 2214046
Kwani kakosea wapi? ana manisha mahakama yetu ni mzigo sabeya kaachiwa kimzahamzahaBongo hapa kila kitu shida,kama mambo madogo haya yanakosewa hivi,je masuala serious itakuaje?
Kama Kingereza kimetushinda tukipe nguvu kiswahili.
Hii ndio nini sasa[emoji116]
View attachment 2214046
Upo kwenye nyumba ya vioo ujue acha kukasirisha waliokaribu na mawe.Huyi si Kingereza tu hata Kiswahili hawezi kuandika sawa, ni ujinga dhahiri shahiri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani kakosea wapi? ana manisha mahakama yetu ni mzigo sabeya kaachiwa kimzahamzaha
๐๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐ ๐๐๐๐๐๐Taabu kwelikweli bhaghosha
Watanzania hata lugha yetu tu hatuipi uzito katika matamshi. Utakutana na sentensi kama balabala ya posta. Mjuaji zaidi atakwambia balabala ya posta load.Bongo hapa kila kitu shida, kama mambo madogo haya yanakosewa hivi,je masuala serious itakuaje?
Kama Kingereza kimetushinda tukipe nguvu Kiswahili [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii ndio nini sasa[emoji116]
View attachment 2214046
Wewe rusha mawe, uone yatavyokunyeeshea, utakimbia. Hatukujazwa kupigwa la kushoto sisi tukakugeuzia na lakulia. Kumbuka hilo.Upo kwenye nyumba ya vioo ujue acha kukasirisha waliokaribu na mawe.
Highlight ya rangi ya zambarau kwenye nukuu niliyoweka kutoka bandiko lako umeiona?Wewe rusha mawe, uone yatavyokunyeeshea, utakimbia. Hatukujazwa ujinga wa kupigwa la kushoto sisi tukakugeuzia na lakulia. Kumbuka hilo.
Sijaiona.Highlight ya rangi ya zambarau kwenye nukuu niliyoweka kutoka bandiko lako umeiona?
Cha ajabu limetumika neno mahakama, Kwa nini isiwe barabara badala yake iwe road? Yaani wasomi wetu ni janga.Bongo hapa kila kitu shida, kama mambo madogo haya yanakosewa hivi,je masuala serious itakuaje?
Kama Kingereza kimetushinda tukipe nguvu Kiswahili [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii ndio nini sasa[emoji116]
View attachment 2214046
Kubana matumizi au kuna anayejilipa na kuokota vijiti vya kutundikia vibati vya hayo majina ya barabarani?Mh.Nape Huu sasa ni mzaha,unachafua kauli ya Mama kuupiga mwingi [emoji116]
Wamebadilisha bwana ๐Kubana matumizi au kuna anayejilipa na kuokota vijiti vya kutundikia vibati vya hayo majina ya barabarani?
Mauzauza hoyee!!!