Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Mkuu wa Idara ya Habari maelezo amesema zoezi la Anuani za makazi zilipangwa kutumia Tsh. Bilioni 740 lakini Rais Samia aliishusha hadi Tsh. Bilioni 28.
Kutokana na bajeti wananchi wametakiwa kuchangia baadhi ya huduma ikiwemo huduma ya kuwekewa vibao ambapo tafiti zimeonesha wananchi wanalipia kuanzia Tsh. 1500 hadi 7000 kwa baadhi ya maeneo ili kuchangia bajeti iliyofemea.
Msigwa amesema utaratibu wa watu kulipia unatokana na sheria ya Mtaa kifungu cha 20 na 21.
Kwa hiyo wananchi acheni woga lipeni.
Kutokana na bajeti wananchi wametakiwa kuchangia baadhi ya huduma ikiwemo huduma ya kuwekewa vibao ambapo tafiti zimeonesha wananchi wanalipia kuanzia Tsh. 1500 hadi 7000 kwa baadhi ya maeneo ili kuchangia bajeti iliyofemea.
Msigwa amesema utaratibu wa watu kulipia unatokana na sheria ya Mtaa kifungu cha 20 na 21.
Kwa hiyo wananchi acheni woga lipeni.