Kuna haja ya wananchi kuelimishwa kuhusu umuhimu wa hivyo vibao vya nyumba na mtaa kwa maana yeye ananufaika vipi na hivyo vibao lakini pia serikali ingesema bei ya vibao ni kiasi kwa nchi nzima au mkoa mzima wananchi wengi wanasita kulipia hivyo vibao kwa kuwa tu anasikia sehemu nyingine vibao ni nafuu kuliko sehemu alipo kwa mfano sehemu nayoishi kibao cha nyumba ni Tsh 8,000 na cha mtaa ni Tsh 150,000 ila kuna sehemu niliona kibao cha nyumba ni Tsh 4,000 na cha mtaa ni Tsh 140,000 hii inaleta ukakasi ikiwa vibao vyote materials ni sawa iweje vitofautiane bei!