Ni nani huyo Mtu?
Si yule mtanzania wa kwanza kutembes na mbwa ufukweni?
Leo nlikuwa nmeenda mapinga kutizama vipolti japo nitafute pakuweka mgongo ila kuna sehemu nimeonyeshwa kiwanja kina ekari zinakaribia 44 naambiwa na madalali kuwa ni mali ya Yule msani wa wasafi. Tuacheni utani yule msanii ana hela tuweke chuki kando.
Ni nani huyo Mtu?
itabaki hapohapo milele.forever youngMama ubaya ana miaka 22?
hiv masaki kumbe kuna nyumba bei rahis hiv?!sio kiwanja tu ana majumba kibao town ikiwemo ile ya milioni 650 aliyonunua masaki ambayo atahamia na wema speteu(22) baada ya kumuoa..he is very rich yule kijana, haijawahi kutokea bongo