Anunua ekari 44 Mapinga

44 kitu gani? watu wana heka 700 na wapo tuliii, na inategemea heka kanunua bei gani!! kuna maeneo heka elfu 20 kwa hiyo ni kitu cha kawaida sana.

Mkuu mapinga ni bagamoyo so madalali huwa waongo sana wanakupa sound kibao kusudi ununue,mara hili shamba hpa la mkapa wewe utakua jirani yke so ukiwa ---- unaingia kichwakichwa.
Domo amalizie nyumba ndio tutamwona mjanja.

Hakuna baba mwenye gari au shamba,kuna baba mwenye nyumba
 

sure mkuu madali ndio zao hizo atakwambia kiwanja cha mbele hapo ni mbunge flani au hilo shamba la mbele ni mwinyi au ridhiwan ili mradi tu uvutike ununue kumbe ni waongo
:focus:
kwa issue ya diamond kununua mapinga eka 44 sidhani kama kuna ukweli navyoijua mapinga kuvua watu na kupata eka 44 ni ngumu,kwa bwax mapinga lwa eka ni more than 6m na kwa mbongo fleva kununua shamba la 250m aache kula bata sidhani labda ana eka 5 ukaambiwa 44.
 

Bagamoyo haishikiki huyo mtu kaja kumpamba hpa amalizie nyumba kwanza awe baba mwenye nyumba
 
mkuu mapinga hiyo ya wap ambayo anaweza kununua eneo lote hilo hii ya Njia panda ya Mtambani? nipo Mapinga cku nyingi cjawahi kuckia hizo taarifa na mtu mwenye eneo kubwa kwa mapinga hii MTELEMWA mkurugenzi wa DAWASCO ekari 44 za Diomond...? utakaa unamsifia mfanyakaz wake akiona ataenda kumuambia naye ataona sifa tayar kuwa watu wanasema anamiliki ardhi na akashindwa kununua kwa 7bu anajua watu tunajua kuwa ardhi.
 
Madalali wajinga sana mie niliendaga kutafuta apartment somewhere tabata, eti dalali ananiambia unaona iyo nyingine inayofata amechukua Masanja Mkandamizaji soon anaamia nikaishia kucheka tu sijui wanafikiri kila anayetafuta nyumba anatoka mkoani kwamba msanii ni ishu. Wakati sie tumewakimbia hao hao mazuzu. Iyo taarifa ya madalali yaweza kuwa kweli au walikuwa wanakutengeneza ujae.
 

Madalali ndio zao ukiwajua hawakupi tabu halafu sound nyingi ukimwangalia kachoka balaa,sasa kusema ili shamba kanunua flani ndio uamshe wenge ulipie,mimi akisema hvyo nampotezea natema biashara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…