Anunua ekari 44 Mapinga

Anunua ekari 44 Mapinga

sio kiwanja tu ana majumba kibao town ikiwemo ile ya milioni 650 aliyonunua masaki ambayo atahamia na wema speteu(22) baada ya kumuoa..he is very rich yule kijana, haijawahi kutokea bongo

Yaan nimechekaa balaaaaa
 
sio kiwanja tu ana majumba kibao town ikiwemo ile ya milioni 650 aliyonunua masaki ambayo atahamia na wema speteu(22) baada ya kumuoa..he is very rich yule kijana, haijawahi kutokea bongo

22?!!!!!!!!!!!
 
Leo nlikuwa nmeenda mapinga kutizama vipolti japo nitafute pakuweka mgongo ila kuna sehemu nimeonyeshwa kiwanja kina ekari zinakaribia 44 naambiwa na madalali kuwa ni mali ya Yule msani wa wasafi. Tuacheni utani yule msanii ana hela tuweke chuki kando.
Mapinga ndio ipo wapi mkuu? ili tuje kuwa jirani na Dangote,mzee wa kupokelewa airport na tuzo
 
sio kiwanja tu ana majumba kibao town ikiwemo ile ya milioni 650 aliyonunua masaki ambayo atahamia na wema speteu(22) baada ya kumuoa..he is very rich yule kijana, haijawahi kutokea bongo

Wema Sepetu ana miaka 22?????
 
na hivyo hataki kuoa, siku wema akitemwa ghafla, mama ubaya under 20 atakufa kwa presha!
 
kama 2006 alikuwa miss, that means alikuwa na miaka lets say 20,

ukijumlisha 8 unapata ngapi vile?

keshazeeeeeeeeekaaa... nimeassume..

Navojua 2006 alikuwa na 18 kwaiyo + 8= 26 sasa sijui 22 imetokea wapi????
 
Navojua 2006 alikuwa na 18 kwaiyo + 8= 26 sasa sijui 22 imetokea wapi????

mwenzio anahesabu mwaka mmoja baada ya miezi 24!

au wewe bado hujagundua hilo? ohoo, utaachwa kwenye mataa ya Ubungo...
 
Leo nlikuwa nmeenda mapinga kutizama vipolti japo nitafute pakuweka mgongo ila kuna sehemu nimeonyeshwa kiwanja kina ekari zinakaribia 44 naambiwa na madalali kuwa ni mali ya Yule msani wa wasafi. Tuacheni utani yule msanii ana hela tuweke chuki kando.

44 kitu gani? watu wana heka 700 na wapo tuliii, na inategemea heka kanunua bei gani!! kuna maeneo heka elfu 20 kwa hiyo ni kitu cha kawaida sana.
 
mwenzio anahesabu mwaka mmoja baada ya miezi 24!

au wewe bado hujagundua hilo? ohoo, utaachwa kwenye mataa ya Ubungo...

Hahahahaaaaa.... Alaaah kumbe miaka 2=1 basi sawa..
Mzima lakini sijakusikia muda
 
Hahahahaaaaa.... Alaaah kumbe miaka 2=1 basi sawa..
Mzima lakini sijakusikia muda

mie mzima my angelitacious!

unaweza kusoma hiyo a.k.a? lol.

njoo CC bibie, huku tutang'atwa na watu maarufu!
 
Back
Top Bottom