Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,092
- 5,386
Utaratibu wa kuwa na anwani za makazi ni jambo jema sana; Napongeza sana Serikali yangu
hata hivyo ninamapendekezo yafuatayo;
1. napendekeza kuwe na nyongeza ya kuelekezwa namna ya kuandika anwani baada ya kupata namba kwenye Nyumba;
Mf: utakuta nyumba imeandikwa #46 sinahakika nikisema Naishi Bugurini - Dar; nyumba #46 imetosha?
Namaanisha kila mtu ataandika kivyake na pengine kuchanganya; mwingine; Buguruni dar, karibu na Msikiti mkuu, nyumba namba #46 nk Nimeandika kwa kuwa kwenye maeneo kuna vitu maarufu pengine kuliko mitaa yenyewe; mf: Shule za zamani, Viwanda, Hospitali, Misikiti/makanisa nk. mfano; nakaa morogoro mjini karibu na geti la kiwanda cha Tumbaku # 46 NK
2. Nimeona Namba zina andikwa kwa kalam (nafikiri Marker pen) wananchi wasipokuwa makini muda sio mrefu nyingi zitafutika hasa Vijijini; sijui kutakuwa na utaratibu gani wa kuhakikisha zinadumu tusirudi huko baada ya miaka 5)
Pengina kila Halmashauri iweke utaratibu wa kuboresha na kwa kuanzia, kila kiongozi kuanzia ngazi ya chini kabisa awe na Kopi ya namba za Nyumba za eneo lake
nimawazo yangu!
hata hivyo ninamapendekezo yafuatayo;
1. napendekeza kuwe na nyongeza ya kuelekezwa namna ya kuandika anwani baada ya kupata namba kwenye Nyumba;
Mf: utakuta nyumba imeandikwa #46 sinahakika nikisema Naishi Bugurini - Dar; nyumba #46 imetosha?
Namaanisha kila mtu ataandika kivyake na pengine kuchanganya; mwingine; Buguruni dar, karibu na Msikiti mkuu, nyumba namba #46 nk Nimeandika kwa kuwa kwenye maeneo kuna vitu maarufu pengine kuliko mitaa yenyewe; mf: Shule za zamani, Viwanda, Hospitali, Misikiti/makanisa nk. mfano; nakaa morogoro mjini karibu na geti la kiwanda cha Tumbaku # 46 NK
2. Nimeona Namba zina andikwa kwa kalam (nafikiri Marker pen) wananchi wasipokuwa makini muda sio mrefu nyingi zitafutika hasa Vijijini; sijui kutakuwa na utaratibu gani wa kuhakikisha zinadumu tusirudi huko baada ya miaka 5)
Pengina kila Halmashauri iweke utaratibu wa kuboresha na kwa kuanzia, kila kiongozi kuanzia ngazi ya chini kabisa awe na Kopi ya namba za Nyumba za eneo lake
nimawazo yangu!