Anwani za makazi: Nape anaupiga mwingi

Anwani za makazi: Nape anaupiga mwingi

Lady Mwali

Senior Member
Joined
Nov 15, 2018
Posts
147
Reaction score
333
Haya ndo matokeo ya ziara ya Nape kwa kutumia chopa kukagua zoezi la anwani za makazi
 

Attachments

  • FB_IMG_16540181928011076.jpg
    FB_IMG_16540181928011076.jpg
    46.2 KB · Views: 38
  • FB_IMG_16540182040328187.jpg
    FB_IMG_16540182040328187.jpg
    29.6 KB · Views: 43
Yaani umeniwahi nilikuwa nataka niulize huku mitaani nguzo za miti ndio zimetumika,tena hizo kwenye picha bira hata zimepakwa rangi,hivi kweli ndio zoezi limeishia hapo baada ya mbwembwe zote hizo?

Hapa tunajipa miezi miwili au mitatu mchwa watakuwa wamefanya kazi yao
 
Yaani umeniwahi nilikuwa nataka niulize huku mitaani nguzo za miti ndio zimetumika,tena hizo kwenye picha bira hata zimepakwa rangi,hivi kweli ndio zoezi limeishia hapo baada ya mbwembwe zote hizo?

Hapa tunajipa miezi miwili au mitatu mchwa watakuwa wamefanya kazi yao
Hi ndo Bongo....kila kitu tunakurupuka
 
Bora ya kwenu.... Kwetu mkoa wa pwani tunachangishwa sh 4000 kwa ajili ya kulipia vibao vya kubandika mlangoni.

Aah aah na ni lazima
 
Hiyo ni miti au macho yangu?.. kama ni miti.. serikali imesevu kiasi gani bila kutumia vyuma?
 
Maendeleo hayana chama
 

Attachments

  • FB_IMG_16540622051208229.jpg
    FB_IMG_16540622051208229.jpg
    36.3 KB · Views: 27
Hivi Hawa kweli wameshindwa hata kutumia mbao nzuri?

Hata kama ni miti ingekuwa imenyooka vizuri
 
Hivi Hawa kweli wameshindwa hata kutumia mbao nzuri?

Hata kama ni miti ingekuwa imenyooka vizuri
#Shukrani kwa mama, anaupiga mwingi! Umesahau mkuu.

Gharama ya kuzunguka na chopa haitoshi kununua milingoti ya chuma, ikaandikwa vizuri kwa ustadi na rangi ya maana? Angalau hata kwa mkoa mmoja?

Huko juu, yeye kama yeye alikuwa anafanya nini?

Maadui wameongezeka nchi hii
  • Ujinga
  • Maradhi
  • Umasikini
  • CCM
  • Chawa watu
  • Wanaume kama mabinti
 
Back
Top Bottom