Any City USA to Dar Es Salaam: Airline tickets; Value for Money

Hizo ni promotion fare za PAA kwenda na kurudi bondeni, zimeanza leo na kudumu kwa mwezi mmoja tuu!. Na kwa wasio fahamu, Watanzania, hatuhitaji viza kuingia South!.
Ubarikiwe sana mkuu. Nashukuru kwa hii taarifa. Si unajua kubadilisha Oxygen kwenye ubongo kunasaidia sana. Ukikaa sana humu Tanzania bila kutoka ubongo unasizi.
 

Nimekukubali , nimecheka sana mzee
 
Na mimi nimepata hamu ya kwenda bondeni ghafla teh teh teh
 
Hizo ni promotion fare za PAA kwenda na kurudi bondeni, zimeanza leo na kudumu kwa mwezi mmoja tuu!. Na kwa wasio fahamu, Watanzania, hatuhitaji viza kuingia South!.

r u sure?

Inamaana hata this weekend naweza kukurupuka nikaenda nikarudi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…