Any City USA to Dar Es Salaam: Airline tickets; Value for Money

Any City USA to Dar Es Salaam: Airline tickets; Value for Money

Hizo ni promotion fare za PAA kwenda na kurudi bondeni, zimeanza leo na kudumu kwa mwezi mmoja tuu!. Na kwa wasio fahamu, Watanzania, hatuhitaji viza kuingia South!.
Ubarikiwe sana mkuu. Nashukuru kwa hii taarifa. Si unajua kubadilisha Oxygen kwenye ubongo kunasaidia sana. Ukikaa sana humu Tanzania bila kutoka ubongo unasizi.
 
Mimi napendelea Muhamed Trans, ni non-stop mwanzo mwisho isipokuwa labda kusimama kuchimba dawa hapa na pale dakika kumi or so, bei zake zinapangwa na serikali kwa hiyo hakuna unpredictability and price gyrations, na reporting time is just about 15min kabla chombo haijaamsha. Na tiketi unaweza kupata asubuhi hiyo hiyo ya safari, just show up at the damn terminal, gharama za extra luggage ni peanuts na still unaweza kulia na officials wakakupetesha vile vile, na hakuna haja ya kukata tiketi ya kwenda na kurudi, unakata tiketi ya safari moja tu, ukipachoka huko uliko unaenda terminal unakata tiketi ya kurudi hapo hap, unageuza. Hakuna worries sijui za kusubiri connecting flight masaa 13, sijui inafika saa tisa usiku, sijui transit visa, mara sijui bei zimepanda zimeshuka, sijui unapitia miji ambayo hurusiwi kutoka nje ya uwanja, sijui kukusanya flier miles..... aaaaaaah! Home Sweet Home!

Nimekukubali , nimecheka sana mzee
 
Na mimi nimepata hamu ya kwenda bondeni ghafla teh teh teh
 
Hizo ni promotion fare za PAA kwenda na kurudi bondeni, zimeanza leo na kudumu kwa mwezi mmoja tuu!. Na kwa wasio fahamu, Watanzania, hatuhitaji viza kuingia South!.

r u sure?

Inamaana hata this weekend naweza kukurupuka nikaenda nikarudi?
 
Back
Top Bottom