Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 248
Mpwa wangu (mtoto wa dada yangu) amenifuata asubuhi hii akilalamika ana miezi miwili hatafaidi ndoa yake. Kila aombapo mchezo mkewe humwambia amekatazwa na mwalimu wake wa mazoezi ya viungo, anadai kufanya mapenzi kutamsababishia kushindwa kupungua uzito. Mama huyo alishauriwa na daktari apunguze uzito.
Nimemwambia mpwa wangu apitie jioni ili tuongee vizuri.
Je nimshaurije huyu bwana mdogo?
Digna hakuna Mwanaume Mkware anayetaka Mwanamke aachane na Mumewe... Wanapenda kuwa~Marioooo tu.Huyo mwalimu wake ni mwanaume, ndio maana, na hiyo dio mbinu yake ya kwanza kujichukulia kifaa kiulainiii bifu litakaposhindikana ndoa ikafa.
huyo mwalimu wa mazoezi ndio mazoezi yenyewe!!!Mpwa wangu (mtoto wa dada yangu) amenifuata asubuhi hii akilalamika ana miezi miwili hatafaidi ndoa yake. Kila aombapo mchezo mkewe humwambia amekatazwa na mwalimu wake wa mazoezi ya viungo, anadai kufanya mapenzi kutamsababishia kushindwa kupungua uzito. Mama huyo alishauriwa na daktari apunguze uzito.
Nimemwambia mpwa wangu apitie jioni ili tuongee vizuri.
Je nimshaurije huyu bwana mdogo?
Mpwa wangu (mtoto wa dada yangu) amenifuata asubuhi hii akilalamika ana miezi miwili hatafaidi ndoa yake. Kila aombapo mchezo mkewe humwambia amekatazwa na mwalimu wake wa mazoezi ya viungo, anadai kufanya mapenzi kutamsababishia kushindwa kupungua uzito. Mama huyo alishauriwa na daktari apunguze uzito.
Nimemwambia mpwa wangu apitie jioni ili tuongee vizuri.
Je nimshaurije huyu bwana mdogo?
huyo mwalimu wa mazoezi ndio mazoezi yenyewe!!!
Aisee.... inauma sana uchungu
Umeona ee Kamanda?! Visababu vingine jamani!! Pole Mpwa wa mwenzetu!
Afu kuna wanaomshangaa eti mwanaume anaipenda sana kiasi cha kukosa usingizi jamani haya mambo yaacheni tu kama yalivyo....
Zamani tulikuwa tunasimuliwa kuwa Bibi zeu walikuwa waki'nyimwa' wanaitisha kabisa kikao cha watu wazima, wanashtaki .'wazee wangu, mume wangu siku hizi anagoma kula chakula usiku' ujumbe unakuwa umefika sasa ole wako kuwepo na mtoto hakawii kukuumbua mbona kila siku tunakula pamoja na bebe mezani?
Hii ni haki bana na ukishaolewa kubali tu unless una sababu ya msingi kama kuumwa au umekatazwa kwa sababu za kidaktari .....sasa mwalimu wa mazoezi!! Mwe!
safi sanaWaende wote kwenye hayo mazoezi kisha aone kama huyo mwalim atamuambia na yeye mwanaume alichomuambia mkewe!
Huyo atakuwa amepata kidumu sehemu,ndoa gani ya kunyimana kwenye tendo halali kwa muda wote huo kwa sababu za hivyo?Mpwa wangu (mtoto wa dada yangu) amenifuata asubuhi hii akilalamika ana miezi miwili hatafaidi ndoa yake. Kila aombapo mchezo mkewe humwambia amekatazwa na mwalimu wake wa mazoezi ya viungo, anadai kufanya mapenzi kutamsababishia kushindwa kupungua uzito. Mama huyo alishauriwa na daktari apunguze uzito.
Nimemwambia mpwa wangu apitie jioni ili tuongee vizuri.
Je nimshaurije huyu bwana mdogo?