Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 248
Mpwa wangu (mtoto wa dada yangu) amenifuata asubuhi hii akilalamika ana miezi miwili hatafaidi ndoa yake. Kila aombapo mchezo mkewe humwambia amekatazwa na mwalimu wake wa mazoezi ya viungo, anadai kufanya mapenzi kutamsababishia kushindwa kupungua uzito. Mama huyo alishauriwa na daktari apunguze uzito.
Nimemwambia mpwa wangu apitie jioni ili tuongee vizuri.
Je nimshaurije huyu bwana mdogo?
Nimemwambia mpwa wangu apitie jioni ili tuongee vizuri.
Je nimshaurije huyu bwana mdogo?