Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,320
Treni halipiti town?!..au ulikuwa busy chumbani?!Uwiii!! Mara ya mwisho nilipita dom sijui mwaka gani yani tena barabarani tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Treni halipiti town?!..au ulikuwa busy chumbani?!Uwiii!! Mara ya mwisho nilipita dom sijui mwaka gani yani tena barabarani tu
UmechelewaUkifika nishtue niko apa kisasa
Lakin siumeelewa?Amakweli ukiwa Dodoma lazima ladha ya kigogo ikuingie tu.
Yaani kuandika "anyone" badala ya " any one"
Nani huyo anajisifu?Mmh majisifu meengi,ndio nyie mnajisifu mboga saba kumbeView attachment 471628
[emoji24] [emoji24] nani kawahiUmechelewa
Hahaha upo wapi weye?? Njoo chemba tunenekwahiyo saiv upo wapi?usiwe jirani yangu hapa,maana huwa nakutilia mashaka muda mrefu..
Now I understandy why uliandika anyone.......Lakin siumeelewa?
Mwenzio chini ya hiyo comment yako[emoji24] [emoji24] nani kawahi
Nilikua Nawaza saranda tu kwenye nyama nyingiiiTreni halipiti town?!..au ulikuwa busy chumbani?!
Ukale nyama ya mbwaNilikua Nawaza saranda tu kwenye nyama nyingiii
KwaninLakini pia ununue albamu ya feruzi "kamanda" maana uwe unajiliwaza kila demu utaempigia simu
Haa kuna siku nilikula nyama sijui ilikua ya yobwe ile make shingo ilikua ndefuuu mpaka nikashtuka.. Badae niliumwa tumbo mpaka basiUkale nyama ya mbwa
Haa kuna siku nilikula nyama sijui ilikua ya yobwe ile make shingo ilikua ndefuuu mpaka nikashtuka
Hata mm uo Msaada nauhitajiNipm nikupe namba ugonge wewe unamuita tu anakujaaa
Hata mi nipo kisasa sehemu gani upo nikufuateUkifika nishtue niko apa kisasa