Anza kuwanyima watu taarifa zako hasa ndugu ,marafiki

Anza kuwanyima watu taarifa zako hasa ndugu ,marafiki

Wauzaji wa containers

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
615
Reaction score
1,443
Tumia kanuni ya kuwanyima watu taarifa zako .

Wasijue upo wapi
Wasijue unafanya nini
Wasijue Kazi yako
Wasijue biashara zako wala kazi zako.
Wasijue mipango yako

Hii -ndo njia bora ya kuwa safe wewe dili na watu ambao mnafanya wote maisha .

Hakikisha unakuwa na sura mbili

Hakuna kitu kinaleta heshima Kama watu kutokujua habari zako.
 
hapo hapo mnasema tusijitenge na watu ili tupate connection ya kibiashara,kazi au deals,mmhhh
kwa kifupi mnatuambia tutoke magetoni wakati huo huo tujitenge na watu ila hapo hapo tuwe karibu na watu,maisha yamekuwa magumu cha kushika ni kipi???
 
IMG_20240724_155800.jpg
 
hapo hapo mnasema tusijitenge na watu ili tupate connection ya kibiashara,kazi au deals,mmhhh
kwa kifupi mnatuambia tutoke magetoni wakati huo huo tujitenge na watu ila hapo hapo tuwe karibu na watu,maisha yamekuwa magumu cha kushika ni kipi???


Social intelligence - ndo unatumia unabidi kuwa closed na watu unaotafuta nao mkate na sio kila MTU

Kutoka maghetoni ni kauli ya kisiasa you need to shake ur mind well sio kila kauli unabidi kusikiliza.
 
Tumia kanuni ya kuwanyima watu taarifa zako .

Wasijue upo wapi
Wasijue unafanya nini
Wasijue Kazi yako
Wasijue biashara zako wala kazi zako.
Wasijue mipango yako

Hii -ndo njia bora ya kuwa safe wewe dili na watu ambao mnafanya wote maisha .

Hakikisha unakuwa na sura mbili

Hakuna kitu kinaleta heshima Kama watu kutokujua habari zako.
Umenikumbusha tena tabia hii wanayo wasukuma kanda ya ziwa.
Kuna mzee alikuwa na pesa nyingi na biashara kubwa hata siku moja ajawai kumwambia mke wala watoto sababu ya kutowaamini akamwamini rafiki. Siku amefariki kwa ajali yule rafiki alijikausha kimya na ndio tajiri.
Familia ile imebaki ikilima na kuishi kwa shida
 
Tumia kanuni ya kuwanyima watu taarifa zako .

Wasijue upo wapi
Wasijue unafanya nini
Wasijue Kazi yako
Wasijue biashara zako wala kazi zako.
Wasijue mipango yako

Hii -ndo njia bora ya kuwa safe wewe dili na watu ambao mnafanya wote maisha .

Hakikisha unakuwa na sura mbili

Hakuna kitu kinaleta heshima Kama watu kutokujua habari zako.
icho kitu niliwahi kukifanya, nilifunga vioo.
 
hapo hapo mnasema tusijitenge na watu ili tupate connection ya kibiashara,kazi au deals,mmhhh
kwa kifupi mnatuambia tutoke magetoni wakati huo huo tujitenge na watu ila hapo hapo tuwe karibu na watu,maisha yamekuwa magumu cha kushika ni kipi???
Hujamuelewa mtoa mada
FB_IMG_1720867592828.jpg
 
Tumia kanuni ya kuwanyima watu taarifa zako .

Wasijue upo wapi
Wasijue unafanya nini
Wasijue Kazi yako
Wasijue biashara zako wala kazi zako.
Wasijue mipango yako

Hii -ndo njia bora ya kuwa safe wewe dili na watu ambao mnafanya wote maisha .

Hakikisha unakuwa na sura mbili

Hakuna kitu kinaleta heshima Kama watu kutokujua habari zako.
Kila jambo lina faida na hasara zake.
 
Back
Top Bottom