Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Kufa kwanza ndio utajua umuhimu wake.Kwani wasipoandika Una hasara gani na umeshakufa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufa kwanza ndio utajua umuhimu wake.Kwani wasipoandika Una hasara gani na umeshakufa
Watu? nenda bar nunua bia Moja au soda wakilewa wataropoka kila kitu wewe unaenda kukifanyia kazihapo hapo mnasema tusijitenge na watu ili tupate connection ya kibiashara,kazi au deals,mmhhh
kwa kifupi mnatuambia tutoke magetoni wakati huo huo tujitenge na watu ila hapo hapo tuwe karibu na watu,maisha yamekuwa magumu cha kushika ni kipi???
Ivo yaanKwani wasipoandika Una hasara gani na umeshakufa
We umejuaje wakati alimwambia rafiki yake tuuUmenikumbusha tena tabia hii wanayo wasukuma kanda ya ziwa.
Kuna mzee alikuwa na pesa nyingi na biashara kubwa hata siku moja ajawai kumwambia mke wala watoto sababu ya kutowaamini akamwamini rafiki. Siku amefariki kwa ajali yule rafiki alijikausha kimya na ndio tajiri.
Familia ile imebaki ikilima na kuishi kwa shida
HATA MKEO WANAJUA ANATEMBEA NANI ILA WANAOGOPA KUKWAMBIAWe umejuaje wakati alimwambia rafiki yake tuu
Mtoa mada yuko sawa.hapo hapo mnasema tusijitenge na watu ili tupate connection ya kibiashara,kazi au deals,mmhhh
kwa kifupi mnatuambia tutoke magetoni wakati huo huo tujitenge na watu ila hapo hapo tuwe karibu na watu,maisha yamekuwa magumu cha kushika ni kipi???
Hizi ni kanuni za waliojipata!
Wasijue niko wapi si wanajua niko home
Nafanya nini - naosha vyombo /nafua /napika
Wasijue kazi na biashara wakati kazi yenyewe sina na biashara yenyewe hali kadhalika!
Mipango natoa wapi na maisha yenyewe sina 🤣🤣🤣
Anyway ushauri wako poa sana mkuu
ChaiHATA MKEO WANAJUA ANATEMBEA NANI ILA WANAOGOPA KUKWAMBIA
Ni kweli kabisaHATA MKEO WANAJUA ANATEMBEA NANI ILA WANAOGOPA KUKWAMBIA
Tumia kanuni ya kuwanyima watu taarifa zako .
Wasijue upo wapi
Wasijue unafanya nini
Wasijue Kazi yako
Wasijue biashara zako wala kazi zako.
Wasijue mipango yako
Hii -ndo njia bora ya kuwa safe wewe dili na watu ambao mnafanya wote maisha .
Hakikisha unakuwa na sura mbili
Hakuna kitu kinaleta heshima Kama watu kutokujua habari zako.
Ukishakufa hata uwe profesa hauna kipya tena ni Bora mbwa aliye hali....Kufa kwanza ndio utajua umuhimu wake.