Hua sipendi tabia ya uzi kichwa cha habari ni kiswahili alafu uzi ni kingereza..
Hia sipendi mtu anaomba ushuri watu wanamjibu ndivyo sivyo....
Hua sipendi mtu anaandika uzi kiswahili anajibiwa kingereza....
Ebdelea hua hupindi nini...
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]mkuu huku stendi ni kazi maalum[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] ndi nilikopangwa mi mwenyewe sipendi ila ndo kazi ila naipenda balaa maana ni nzuri kuliko mshahara