mwalimu Jr.
Member
- Aug 20, 2008
- 51
- 4
HISIA za wananchi wengi ni kwamba 'wabunge' wanataka mfuko wa majimbo ili kulinda nafasi zao na wala sio kwa manufaa ya mkulima.
Mimi ninaishauri serikali kufikiria uwezekano wa kuanzisha SACCOS za kilimo za jimbo zitakazoendeshwa kwa kanuni maridhawa na safi za menejimenti na utawala chini ya uangalizi wa benki tarajiwa ya Wakulima.
Kwa hakika hili linategemea kama serikali yenyewe ina dhati ya kweli ya kuchochea mapinduzi ya kilimo nchini au inawasanii tu wakulima kwa kuwa uchaguzi mkuu wa 2010 unakaribia!!!
Kama nia ya serikali kweli ni kuwasaidia wakulima basi kinachohitajika ni kuacha utani na SACCOS na Benki za Kata na kuvijenga vitu hivyo vifikie hadhi ya Volksbank za Ujerumani eti.
Mwalimu kasema nani anabisha? Kama sio wanaotaarajia kupeleka ufisadi majimboni ?
Mimi ninaishauri serikali kufikiria uwezekano wa kuanzisha SACCOS za kilimo za jimbo zitakazoendeshwa kwa kanuni maridhawa na safi za menejimenti na utawala chini ya uangalizi wa benki tarajiwa ya Wakulima.
Kwa hakika hili linategemea kama serikali yenyewe ina dhati ya kweli ya kuchochea mapinduzi ya kilimo nchini au inawasanii tu wakulima kwa kuwa uchaguzi mkuu wa 2010 unakaribia!!!
Kama nia ya serikali kweli ni kuwasaidia wakulima basi kinachohitajika ni kuacha utani na SACCOS na Benki za Kata na kuvijenga vitu hivyo vifikie hadhi ya Volksbank za Ujerumani eti.
Mwalimu kasema nani anabisha? Kama sio wanaotaarajia kupeleka ufisadi majimboni ?