Aogeshwa maji taka siku yake ya kuzaliwa 💩💩

Aogeshwa maji taka siku yake ya kuzaliwa 💩💩

Upumbavu huu ulianzia Dar... Yani wanaume walikaa kabisa na kubuni ujingaa

hahahahahah unatuonea wadaresalamu mkuu, huu ujinga ulianzia mkoaniiiiii, sisi tume-adopt tuu kutoka kwao.
 
Shule niliyosoma advance kwenye birthday yako unamwagiwa maji machafu na kukalishwa chini halafu unaanza kupokea kichapo kutoka kwa wananchi wenye hasira, makofi,konzi na mikanda ya kutosha.

Kwenye birthday yangu nilikuwa natangaza hali ya hatari mtu anisogelee aone nitakavyo make headline kwenye magazeti yote.

Kiufupi huo ni upuuzi first class.
Walikuwa wanajuaje ni birthday yako? au pale shule kila mtu ameandika tarehe yake ya kuzaliwa?
 
Walikuwa wanajuaje ni birthday yako? au pale shule kila mtu ameandika tarehe yake ya kuzaliwa?
kwenye kupiga stori unashitukia ushasema nilizaliwa April 3 basi wavimba macho wanaikariri huku wanakuvutia pumzi,halafu hawawezi kusahau we utashituka umevutwa na kupigwa maji machafu na vitasa juu.
Live long my Kisimiri.
 
kwenye kupiga stori unashitukia ushasema nilizaliwa April 3 basi wavimba macho wanaikariri huku wanakuvutia pumzi,halafu hawawezi kusahau we utashituka umevutwa na kupigwa maji machafu na vitasa juu.
Live long my Kisimiri.
hahaha..... wavimba macho aka wadananja.....
 
Back
Top Bottom