mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Kuna RC mmja machachari alikogeshwaHiyo ni michezo ya watoto mchele mchele
Na alitulia
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna RC mmja machachari alikogeshwaHiyo ni michezo ya watoto mchele mchele
RC pendwaduh hii code ni ngumu hebu mtaje hata juu juu mkuu tumtambue
😂😂😂😂😂😂hahahahahah unatuonea wadaresalamu mkuu, huu ujinga ulianzia mkoaniiiiii, sisi tume-adopt tuu kutoka kwao.
Walikuwa wanajuaje ni birthday yako? au pale shule kila mtu ameandika tarehe yake ya kuzaliwa?Shule niliyosoma advance kwenye birthday yako unamwagiwa maji machafu na kukalishwa chini halafu unaanza kupokea kichapo kutoka kwa wananchi wenye hasira, makofi,konzi na mikanda ya kutosha.
Kwenye birthday yangu nilikuwa natangaza hali ya hatari mtu anisogelee aone nitakavyo make headline kwenye magazeti yote.
Kiufupi huo ni upuuzi first class.
kwenye kupiga stori unashitukia ushasema nilizaliwa April 3 basi wavimba macho wanaikariri huku wanakuvutia pumzi,halafu hawawezi kusahau we utashituka umevutwa na kupigwa maji machafu na vitasa juu.Walikuwa wanajuaje ni birthday yako? au pale shule kila mtu ameandika tarehe yake ya kuzaliwa?
hahaha..... wavimba macho aka wadananja.....kwenye kupiga stori unashitukia ushasema nilizaliwa April 3 basi wavimba macho wanaikariri huku wanakuvutia pumzi,halafu hawawezi kusahau we utashituka umevutwa na kupigwa maji machafu na vitasa juu.
Live long my Kisimiri.