Kutumia fursa ni kosa. Mwenzio kaona hiyo fursa hapo. Hujaona nape amesema wanaiba kura na hafanywi chochote unaijua why? Yupo kwenye mfumo kwa Sasa, so Wacha dogo atafute kupenya.Hawa vijana minduku sana
Aisee hiyo English kweli ilikuja na meli
Desperate
Kukosa kazi kunaharibu ubongo
AMewahi kupost alipanga apost kwenye uzi wa "usiku wa manane"Chai hii..tarehe 18 si ni kesho au huyo aliyeleta hii chai kashindwa kuedit tarehe?
Aisee.. na hapo wanaweza mzingatia akiambatanisha na kadi ya ccm
Baby niombee kazi kwa DC?Mtaani kugumu kilichobaki watu kujilipua kuwa machawa tyuu 😹😹