Jana nilienda kwenye moja ya saluni kupunguza nywele..
Nikafika nikamkuta kinyozi yuko pekeyake anakula mziki akisubiri wateja..bila kuchelewa nikakaa kwenye kiti ili nipate huduma..wakati huduma inaendelea alikuja dada mmoja ambaye alipeleka simu yake ichajiwe na alikuwa ameifuata..kinyozi alimpa simu na wakaendelea na maongezi..
Sikutaka kufuatilia maongezi yao lakini nililazimika kufanya hivo baada ya kusikia kinyozi anaomba namba za simu za yule mchuchu..bi dada bila hiyana akamwambia aandike 0*****mwisho 94 ..kinyozi akauliza mbona ziko nane yule demu akamwambia kama anaona ana shida sana kuongea na yeye hizo namba mbili za mwisho afanye makisio akibahatisha basi akishindwa ndo hivo tena..kisha akaenda zake...
Jamaa aliduwaa mno lakini ndo hivyo hakuwa na jinsi..akaendelea kunipunguza nywele huku povu likimtokaa...
Dada zetu kama hamjisikii kutupa namba zenu semeni sitaki lakini siyo haya mnayotufanyia...sijui kinyozi alitaka kumwambia nini yule dada....[emoji25]
Nikafika nikamkuta kinyozi yuko pekeyake anakula mziki akisubiri wateja..bila kuchelewa nikakaa kwenye kiti ili nipate huduma..wakati huduma inaendelea alikuja dada mmoja ambaye alipeleka simu yake ichajiwe na alikuwa ameifuata..kinyozi alimpa simu na wakaendelea na maongezi..
Sikutaka kufuatilia maongezi yao lakini nililazimika kufanya hivo baada ya kusikia kinyozi anaomba namba za simu za yule mchuchu..bi dada bila hiyana akamwambia aandike 0*****mwisho 94 ..kinyozi akauliza mbona ziko nane yule demu akamwambia kama anaona ana shida sana kuongea na yeye hizo namba mbili za mwisho afanye makisio akibahatisha basi akishindwa ndo hivo tena..kisha akaenda zake...
Jamaa aliduwaa mno lakini ndo hivyo hakuwa na jinsi..akaendelea kunipunguza nywele huku povu likimtokaa...
Dada zetu kama hamjisikii kutupa namba zenu semeni sitaki lakini siyo haya mnayotufanyia...sijui kinyozi alitaka kumwambia nini yule dada....[emoji25]