johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Waziri mkuu wa Taifa Teule Israel ameomba radhi baada ya Mateka 6 kukutwa wamekufa
Source: BBC
Mlale Unono 🐼
Source: BBC
Mlale Unono 🐼
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Netanyahuu amesema hamas watalipa gharama kubwa kwa kuua matekaWaziri mkuu wa Taifa Teule Israel ameomba radhi baada ya Mateka 6 kukutwa wamekufa
Source: BBC
Mlale Unono [emoji209]
Ila watu weusi tumelogewa pabaya sana.Waziri mkuu wa Taifa Teule
Netanyahu hanaga maneno mengi akisema hivyo kinachofuata ni utekelezaji, sio kama kobazi mikwala mingi.Kwenye page yake Instagram mbona ameelezea vizuri tu kwamba ataendeleza pressure ya kijeshi dhidi ya magaidi mpaka ahakikishe mateka wote wanakombolewa
Umelelewa Mada lakini?Kwenye page yake Instagram mbona ameelezea vizuri tu kwamba ataendeleza pressure ya kijeshi dhidi ya magaidi mpaka ahakikishe mateka wote wanakombolewa
Yes. Ndio maana namkubali sana huyu bingwa, Akisema kitu anamaanishaNetanyahu hanaga maneno mengi akisema hivyo kinachofuata ni utekelezaji, sio kama kobazi mikwala mingi.
Hawa magaidi wa Israel,ndio waliomsukubu Yesu,na kumuua,na mpaka leo eanamuita mtoto wa nje ya ndoa.Netanyahu hanaga maneno mengi akisema hivyo kinachofuata ni utekelezaji, sio kama kobazi mikwala mingi.
Utajua mwenyewe ila Netanyahu ameapa kutokomeza ugaidiHawa magaidi wa Israel,ndio waliomsukubu Yesu,na kumuua,na mpaka leo eanamuita mtoto wa nje ya ndoa.
Ndoto za AlinachaUtajua mwenyewe ila Netanyahu ameapa kutokomeza ugaidi
😂😂😂😂😂😂Blah blah mingiNetanyahuu amesema hamas watalipa gharama kubwa kwa kuua mateka
Alisema ataifuta Hamas ndani ya wiki mbili leo ni mwaka 😂😂😂😂😂😂 lopo lopo mingiYes. Ndio maana namkubali sana huyu bingwa, Akisema kitu anamaanisha
Lini alisema atafuta Hamas ndani ya week 2?!Alisema ataifuta Hamas ndani ya wiki mbili leo ni mwaka 😂😂😂😂😂😂 lopo lopo mingi
Huyo ni fala tu kama waisrael wote ni mafala tu. Vita anafanya akidhani silaha za US ndio zitampa ushindi, kabakia kufanya genocide Mimi na uhakika huyu atakufa kifo kibaya sana nyie tulieni mtaona.Waziri mkuu wa Taifa Teule Israel ameomba radhi baada ya Mateka 6 kukutwa wamekufa
Source: BBC
Mlale Unono 🐼
Uteule upi walionawo HAO WAUA YESU KRISTO?!Waziri mkuu wa Taifa Teule Israel ameomba radhi baada ya Mateka 6 kukutwa wamekufa
Source: BBC
Mlale Unono 🐼
Mbona hatuwaelewi mara mseme hawa sio wayahudi sasahivi mnasema hawa ni wayahudi waliomsulubu YesuHawa magaidi wa Israel,ndio waliomsukubu Yesu,na kumuua,na mpaka leo eanamuita mtoto wa nje ya ndoa.