Apartheid ingetakiwa iendelee South Africa

Apartheid ingetakiwa iendelee South Africa

Artifact Collector

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
6,617
Reaction score
10,205
Kwenye maisha moja ya Somo nililojifunza usitumie nguvu kubwa sana kumsaidia mtu, msaidie mtu kiasi alafu endelea na maisha yako

Kwanin nasema hivyo mfano Kuna mtu na kaka yake tulimsaidia alikua na shida kinoma kwao akawa anakuja kwetu akawa anaishi kama mwanafamilia tulihakikisha hatumtengi, amekuja kuwa tajiri ana miliki makampuni huwezi amini yule mtu Hana msaada wowote hatumlazimishi atoe mshaada ila inakera

Mfano South Africa nchi nyingi zilijinyima Tanzania ikiwepo kuwapigania itoke kwenye apartheid, wakafanikiwa Leo hii south Africa wanawafanyia fujo waafrika wenzao kwamba wanawachukulia kazi

Swali la kujiuliza south Africa ni nchi ambayo inasheria inaruhusuje kikundi cha wahuni waende kufanyia waamiaji haramu je jeshi la uhamiaji Wana kazi gani

Muda mwingine naamin ni Bora apartheid ingeendelea south Africa sababu south Africa ya Leo ni mbaya kuliko hata kipindi Cha apartheid yaan wameshindwa kujiongoza

Suluhuhisho wapate rais mzungu wote hao wakina Malema, ANC hakuna anaweza kuitoa nchi pale ilipo ni aibu kubwa sana
 
Tatizo unapomsaidia mtu na kusubiri atakulipa nini au kusubiri reaction yake kwako baada ya wewe kumsaidia!

Msaidie mtu kisha endelea na maisha yako,kumsaidia mtu sio tiketi ya yeye kukunyenyekea,

Hakuna Binadamu ambaye hajasaidiwa,tunaishi kwa kutegemeana,

Unaposaidiwa na ukafanikiwa basi na wewe msaidie mwenye shida nae afanikiwe,njia hii inaweza kupunguza umasikini na dhiki za kimaisha kwa wenye shida.
 
Nani alikulazimisha uwasaidie? Unadhani wale wasingesaidiwa wasingepata uhuru hata kama wangechelewa. Hata mimi Mtanzania siwezi kubali siku uchumi wa Tanzania ukue watokee wahuni waliopigana kwao Ethiopia wakagoma kukaa kwa amani eti wanakuja kwetu kutafuta ajira kiholela.

Unalaumu vyombo vya ulinzi vya South Africa, wewe vya kwako vimefanya nini walipouwawa wauza madini, walipopotea watu na kuokotwa ufukweni, na matukio kama hayo.

Yani unakaa unadhani SA itatia huruma ikuruhusu ukauze mabakuli kwao kisa nchi yako iliwachangia kupata uhuru wakati wazawa wanaweza fanya hiyo ajira. Of course raia wanachofanya ni kosa
 
Utumwa na Ukoloni ulitunyima Watu weusi nafasi ya kuongoza, kubuni na kujiamini. Makaburu walizalisha kazi nyingi na manamba walifanya kazi kwa bakora.

Kwanza Mandela alipotoka gerezani Makaburu walihamisha pesa yao na kuipeleka, Australia na Canada. Hii ilifanya uchumi wa nchi kuyumba.
 
Tatizo unapomsaidia mtu na kusubiri atakulipa nini au kusubiri reaction yake kwako baada ya wewe kumsaidia!
Msaidie mtu kisha endelea na maisha yako,kumsaidia mtu sio tiketi ya yeye kukunyenyekea,
Hakuna Binadamu ambaye hajasaidiwa,tunaishi kwa kutegemeana,
Unaposaidiwa na ukafanikiwa basi na wewe msaidie mwenye shida nae afanikiwe,njia hii inaweza kupunguza umasikini na dhiki za kimaisha kwa wenye shida.
Tatizo uelewa ni mdogo sana hio ndo changamoto inayokusumbua alafu hujaelewa Uzi una maana gani
 
Utumwa na Ukoloni ulitunyima Watu weusi nafasi ya kuongoza, kubuni na kujiamini. Makaburu walizalisha kazi nyingi na manamba walifanya kazi kwa bakora.

Kwanza Mandela alipotoka gerezani Makaburu walihamisha pesa yao na kuipeleka, Australia na Canada. Hii ilifanya uchumi wa nchi kuyumba.
Ile nchi atawale mzungu wale wameshindwa
 
Binadamu hatunaga Shukrani

Na wale jamaa kama sio dunia kuungana kuupinga ukaburu mpaka leo wangekuwa chini ya maakaburu maana Britain na USA walikuwa nyuma yao mpaka mwisho
 
Wazulu wakipata mshahara Ijumaa wanaanza kulewa Ijumaa mpaka Jumatano pesa ikiisha. Kijana wa Kipare akikomaa na kazi na kupata maendeleo wanasema wanachukua kazi zao.
Wanachagua kazi na hawajasoma kwenye capitalism wanaangalia mtu wanayeweza mlipa kidogo na atazalisha sana, wale ni wavivu

Mgeni anaifa hiyo kazi aliyokikataa akidunduliza akianza kupendeza kuwa na maisha mazuri wanaanza kumkasirikia na wakati kazi hiyo hiyo waliikataa mwanzoni
 
Binadamu hatunaga Shukrani

Na wale jamaa kama sio dunia kuungana kuupinga ukaburu mpaka leo wangekuwa chini ya maakaburu maana Britain na USA walikuwa nyuma yao mpaka mwisho
Hata kwenye maisha usitumie nguvu kubwa kumsaidia mtu sababu Kuna mda una uhitaji yeye ajali

Kwenye maisha hatulazimishi ukisaidia mtu lazima aje akusaidie hapana Ila tunategemea kwa kiasi Fulani aje akufanyie wepesi na hio ndo tafsiri ya maisha
 
Kwenye maisha moja ya Somo nililojifunza usitumie nguvu kubwa sana kumsaidia mtu, msaidie mtu kiasi alafu endelea na maisha yako

Kwanin nasema hivyo mfano Kuna mtu na kaka yake tulimsaidia alikua na shida kinoma kwao akawa anakuja kwetu akawa anaishi kama mwanafamilia tulihakikisha hatumtengi, amekuja kuwa tajiri ana miliki makampuni huwezi amini yule mtu Hana msaada wowote hatumlazimishi atoe mshaada ila inakera

Mfano South Africa nchi nyingi zilijinyima Tanzania ikiwepo kuwapigania itoke kwenye apartheid, wakafanikiwa Leo hii south Africa wanawafanyia fujo waafrika wenzao kwamba wanawachukulia kazi

Swali la kujiuliza south Africa ni nchi ambayo inasheria inaruhusuje kikundi cha wahuni waende kufanyia waamiaji haramu je jeshi la uhamiaji Wana kazi gani

Muda mwingine naamin ni Bora apartheid ingeendelea south Africa sababu south Africa ya Leo ni mbaya kuliko hata kipindi Cha apartheid yaan wameshindwa kujiongoza

Suluhuhisho wapate rais mzungu wote hao wakina Malema, ANC hakuna anaweza kuitoa nchi pale ilipo ni aibu kubwa sana
Chuki zako kwa huyo mliyemsadia kwa kumlisha Sasa kawa tajiri na kaamua kufuata mawazo yako kwamba usimsaidie mtu Sana ndo unahamishia kwa waafrika kusini kutaka wasingesaidiwa waendelee kuteswa na makaburu?
Tenda wema nenda zako kwani alikulazimisheni mumsaidie?
 
Kwenye maisha moja ya Somo nililojifunza usitumie nguvu kubwa sana kumsaidia mtu, msaidie mtu kiasi alafu endelea na maisha yako

Kwanin nasema hivyo mfano Kuna mtu na kaka yake tulimsaidia alikua na shida kinoma kwao akawa anakuja kwetu akawa anaishi kama mwanafamilia tulihakikisha hatumtengi, amekuja kuwa tajiri ana miliki makampuni huwezi amini yule mtu Hana msaada wowote hatumlazimishi atoe mshaada ila inakera

Mfano South Africa nchi nyingi zilijinyima Tanzania ikiwepo kuwapigania itoke kwenye apartheid, wakafanikiwa Leo hii south Africa wanawafanyia fujo waafrika wenzao kwamba wanawachukulia kazi

Swali la kujiuliza south Africa ni nchi ambayo inasheria inaruhusuje kikundi cha wahuni waende kufanyia waamiaji haramu je jeshi la uhamiaji Wana kazi gani

Muda mwingine naamin ni Bora apartheid ingeendelea south Africa sababu south Africa ya Leo ni mbaya kuliko hata kipindi Cha apartheid yaan wameshindwa kujiongoza

Suluhuhisho wapate rais mzungu wote hao wakina Malema, ANC hakuna anaweza kuitoa nchi pale ilipo ni aibu kubwa sana
Tatizo sii katiba mpya kweli?You are kidding. Katiba Mpya italipa mpaka mikopo .
 
Tatizo uelewa ni mdogo sana hio ndo changamoto inayokusumbua alafu hujaelewa Uzi una maana gani
Sasa mimi na wewe nani mwenye uelewa mdogo?

Unamlaumu mtu na Kaka yake uliowasaidia kua hawakupi msaada kwani uliingia nao mkataba kua wakifanikiwa wakupe msaada? unafikiri wahenga walikua wajinga waliposema "Tenda wema nenda zako usingoje shukrani"
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Kla mtu akae kwao apambane na mattzo ya kwao mm ni mtanzania ila itanikela sana na ntaumia sana km mkenya na mganda wakija apa wakachukua ajira yangu tena kwa ujira mdogo sana

Ubaguzi ni tabia asili ya binadamu itakuepo na itaendelea kuepo na wanojifanya kuikataa wanajitekenya tu wenyewe
Watu mnashindwa tu kuelewa mkimbizi, mhamiaji ,mvamizi awa watu wakija nchini kwako wenyewe hufanya kaz yyte ile tena kwa ujira mdogo sana anasababisha na ww mzawa wa pale ufanye kaz kwa ujira mdg ili muweze kuendana
 
Kwenye maisha moja ya Somo nililojifunza usitumie nguvu kubwa sana kumsaidia mtu, msaidie mtu kiasi alafu endelea na maisha yako

Kwanin nasema hivyo mfano Kuna mtu na kaka yake tulimsaidia alikua na shida kinoma kwao akawa anakuja kwetu akawa anaishi kama mwanafamilia tulihakikisha hatumtengi, amekuja kuwa tajiri ana miliki makampuni huwezi amini yule mtu Hana msaada wowote hatumlazimishi atoe mshaada ila inakera

Mfano South Africa nchi nyingi zilijinyima Tanzania ikiwepo kuwapigania itoke kwenye apartheid, wakafanikiwa Leo hii south Africa wanawafanyia fujo waafrika wenzao kwamba wanawachukulia kazi

Swali la kujiuliza south Africa ni nchi ambayo inasheria inaruhusuje kikundi cha wahuni waende kufanyia waamiaji haramu je jeshi la uhamiaji Wana kazi gani

Muda mwingine naamin ni Bora apartheid ingeendelea south Africa sababu south Africa ya Leo ni mbaya kuliko hata kipindi Cha apartheid yaan wameshindwa kujiongoza

Suluhuhisho wapate rais mzungu wote hao wakina Malema, ANC hakuna anaweza kuitoa nchi pale ilipo ni aibu kubwa sana
Operation dudula😡
 
Chuki zako kwa huyo mliyemsadia kwa kumlisha Sasa kawa tajiri na kaamua kufuata mawazo yako kwamba usimsaidie mtu Sana ndo unahamishia kwa waafrika kusini kutaka wasingesaidiwa waendelee kuteswa na makaburu?
Tenda wema nenda zako kwani alikulazimisheni mumsaidie?
Waafrika tuna maana tuko hivi kama hivi tulivyo, maisha ni kusaidia ntakukutolea mifano kadha

Mwili wako kama viungo visingekuwa na ushirikiano usingekuwepo, na siku viungo vikiacha kushirikiana ndo mauti yenyewe

Kwanin wazungu wamefanikiwa wanasaidiana na hawana ubinafsi hio ndo Siri kubwa kwanin waafrika ni maskini ubinafsi na uchoyo kama wewe ulikua nao

Mim sijalazimisha mtu niliyemsaidia anisaidie hapana point ni kwamba awe ana na appreciation hapa unapata point nyingi kwanin waafrika hawafanikiwa hawana appreciation
 
mnapata nguvu wapi za kupinga ' ukaburu' wakati mnawa 'kaburu' na kuwa snitch ma wamasaai ndani ya nchi yao????
 
Back
Top Bottom