dalalitz JF-Expert Member Joined Sep 6, 2013 Posts 3,423 Reaction score 1,987 Sep 9, 2020 #1 Natumai wote wazima. Apartment nzuri zinazojitegemea (Vyumba 2 vya kulala, Sebule,Jiko,Choo) zinapatikana Kimara na Mbezi/MOROGORO Rd. Pamoja na Nyumba (kubwa) za pekeyake zipo hizo na nyingine nyingi. Maeneo tofauti tofauti ya Jiko la Dar. Pia Mikoani tunakupatia huduma kwa uaminifu mkubwa na ndani ya wakati. Chagua inayokufaa hapa na Iwapo unalo hitaji tofauti la aina ya Nyumba au eneo/Mkoa wowote, Nipigie tuyajenge. ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni Kodi ya Mwezi mmoja, Gharama ya kupelekwa kukagua ni Tshs.20,000 tu. Karibu.
Natumai wote wazima. Apartment nzuri zinazojitegemea (Vyumba 2 vya kulala, Sebule,Jiko,Choo) zinapatikana Kimara na Mbezi/MOROGORO Rd. Pamoja na Nyumba (kubwa) za pekeyake zipo hizo na nyingine nyingi. Maeneo tofauti tofauti ya Jiko la Dar. Pia Mikoani tunakupatia huduma kwa uaminifu mkubwa na ndani ya wakati. Chagua inayokufaa hapa na Iwapo unalo hitaji tofauti la aina ya Nyumba au eneo/Mkoa wowote, Nipigie tuyajenge. ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni Kodi ya Mwezi mmoja, Gharama ya kupelekwa kukagua ni Tshs.20,000 tu. Karibu.
Hardwaycomes JF-Expert Member Joined Dec 26, 2018 Posts 370 Reaction score 492 Sep 11, 2020 #2 Hivi hiyo gharama ya "kukagua" mnaanishaga nini? Maana mtu anakuja na gari yake,anatumia mafuta yake,anakuendesha mpaka nyumba ilipo halafu unamdai pesa, sijui mpoje nyie watu....
Hivi hiyo gharama ya "kukagua" mnaanishaga nini? Maana mtu anakuja na gari yake,anatumia mafuta yake,anakuendesha mpaka nyumba ilipo halafu unamdai pesa, sijui mpoje nyie watu....
Mlolongo JF-Expert Member Joined Jul 4, 2019 Posts 3,483 Reaction score 6,257 Sep 11, 2020 #3 Hela ya mguu 20,000 ni kubwa sana.