House4Rent Apartment/Nyumba zinapangishwa

House4Rent Apartment/Nyumba zinapangishwa

dalalitz

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2013
Posts
3,423
Reaction score
1,987
Natumai wote wazima.

Apartment nzuri zinazojitegemea (Vyumba 2 vya kulala, Sebule,Jiko,Choo) zinapatikana Kimara na Mbezi/MOROGORO Rd.

Pamoja na Nyumba (kubwa) za pekeyake zipo hizo na nyingine nyingi.

Maeneo tofauti tofauti ya Jiko la Dar.
Pia Mikoani tunakupatia huduma kwa uaminifu mkubwa na ndani ya wakati.

Chagua inayokufaa hapa na
Iwapo unalo hitaji tofauti la aina ya Nyumba au eneo/Mkoa wowote,
Nipigie tuyajenge.

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni Kodi ya Mwezi mmoja,
Gharama ya kupelekwa kukagua ni Tshs.20,000 tu.

Karibu.

PhotoGrid_1599634946809.jpg
PhotoGrid_1599637245272.jpg
PhotoGrid_1599636299364.jpg
PhotoGrid_1599634632954.jpg
PhotoGrid_1599635839652.jpg
 
Hivi hiyo gharama ya "kukagua" mnaanishaga nini?

Maana mtu anakuja na gari yake,anatumia mafuta yake,anakuendesha mpaka nyumba ilipo halafu unamdai pesa, sijui mpoje nyie watu....
 
Back
Top Bottom