Apartment zinapangishwa.

Apartment zinapangishwa.

Kitomai

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2009
Posts
1,074
Reaction score
308
Zipo kimara suka. Mita chache kutoka barabara kuu(Morogoro Road) Zina chumba kimoja cha kulala, sebure, choo na bafu na jiko ndani kwa ndani au self contained.
kodi kwa mwezi sh 150,000/-. Kwa mwezi. kwa maelezo zaidpiga simu na 0717114409 au 0755312233
 
poa sasa,tutumie picha tuzione ndugu yangu angalau tupate idea how it look like.
 
Zipo kimara suka. Mita chache kutoka barabara kuu(Morogoro Road) Zina chumba kimoja cha kulala, sebure, choo na bafu na jiko ndani kwa ndani au self contained.
kodi kwa mwezi sh 150,000/-. Kwa mwezi. kwa maelezo zaidpiga simu na 0717114409 au 0755312233
Je ukubwa wa vyumba ukoje kwa mfano sebule na cha kulala na hiyo laki moja unusu unatoa kila mwisho wa mwezi au ndio unalipia pango kwa mwaka mzima.Pia ingenoga ungetoa picha zake hapa jamvini,pia nataka kujua kama ziko ndani ya fensi n.k
 
Zipo ndani ya fence. kodi miezi sita.
 
Kama ndio ninazozifahamu mimi, mmmh. Hebu weka picha basi
 
jamani acheni uswahili, c ameweka simu zake hapo...if ur interested call the guy arrange with him and go have a look/survey. sidhani kama utalazimishwa kulipia nyumba bila ww kuikagua nakuridhika nao...mambo ya picha sijui dimensions...acheni hizo..:mad2:
 
Tatizo hiyo sehemu kwa watu tufanyao kazi maeneo ya kurasini itatubidi tuamke saa kumi asubuhi!
 
kwa maelezo ya ziada piga simu 0717114409
 
jamani acheni uswahili, c ameweka simu zake hapo...if ur interested call the guy arrange with him and go have a look/survey. sidhani kama utalazimishwa kulipia nyumba bila ww kuikagua nakuridhika nao...mambo ya picha sijui dimensions...acheni hizo..:mad2:

Biashar za siku hiizi tofauti kabisa na za zamani, mbona price tag ameweka? Kizuri chajiuza, kabla mtu hajapoteza mia tano yake kupiga simu, wachilia mbali lita sita zake za diesel kwenda kuona nyumba ni vizuri ikamvuta kwanza kwa macho.
 
Back
Top Bottom