Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Kuna njia tatu:
(1) Watafutie connection na mmojawapo wa watoto au wawakilishi wa kiongozi mkubwa sana serikalini, wakubaliane kuwa 20% ya biashra yao itakuwa ni mali ya kiongozi huyo. Wakishakubaliana hivyo, watapata faida kubwa sana kwa vile watakuwa hawalipi kodi yoyote, na ile 20% wanayowalipa familia ya kiongozi itakuwa ni chini ya kiwango ambacho wangelipa kodi. Playbook nzuri iko Barrick; in fact wataweza kubadilisha namba za mapato yao na kuishia kulipa familia ya kiongozi hata chini ya 10%, plus tax free, na labda ulizni wa bure wa polisi wa serikali.
(2) kama hawataki kufanya transactions dubious, hasa kama wanatoka nchi ambazo huwa zinaangalia business dealings za raia wao wanapokuwa nchi za nje, basi njia pekee ni kuwaambia ukweli kuwa Tanzania haijawa na mazingira mazuri ya kufanyia biashara. Watafutie nchi nyingine za jirani ambazo zina utaratibu unaoaminika kama vile Rwanda au Kenya.
(3) Iwapo hayo yote hapo juu siyo mazuri, washaauri wakupe wewe hizo hela halafu wewe ndiwe ufanye biashara hiyo kiswahili swahili. Ukiifanya kiswahili swahili ukiwa unachanganya mishen town na mambo ya aina hiyo, unaweza kupata faida kubwa sana kuliko ambayo wao wangepata, na hivyo utawapatia faida yao halali na wewe kubaki ni kitu fulani.
(1) Watafutie connection na mmojawapo wa watoto au wawakilishi wa kiongozi mkubwa sana serikalini, wakubaliane kuwa 20% ya biashra yao itakuwa ni mali ya kiongozi huyo. Wakishakubaliana hivyo, watapata faida kubwa sana kwa vile watakuwa hawalipi kodi yoyote, na ile 20% wanayowalipa familia ya kiongozi itakuwa ni chini ya kiwango ambacho wangelipa kodi. Playbook nzuri iko Barrick; in fact wataweza kubadilisha namba za mapato yao na kuishia kulipa familia ya kiongozi hata chini ya 10%, plus tax free, na labda ulizni wa bure wa polisi wa serikali.
(2) kama hawataki kufanya transactions dubious, hasa kama wanatoka nchi ambazo huwa zinaangalia business dealings za raia wao wanapokuwa nchi za nje, basi njia pekee ni kuwaambia ukweli kuwa Tanzania haijawa na mazingira mazuri ya kufanyia biashara. Watafutie nchi nyingine za jirani ambazo zina utaratibu unaoaminika kama vile Rwanda au Kenya.
(3) Iwapo hayo yote hapo juu siyo mazuri, washaauri wakupe wewe hizo hela halafu wewe ndiwe ufanye biashara hiyo kiswahili swahili. Ukiifanya kiswahili swahili ukiwa unachanganya mishen town na mambo ya aina hiyo, unaweza kupata faida kubwa sana kuliko ambayo wao wangepata, na hivyo utawapatia faida yao halali na wewe kubaki ni kitu fulani.