Apata 'ajali' angani akiwa kwenye ungo aangukia TANESCO

Wanaume nasikia wako smart sana kwenye safari za anga za juu ndo maana hawapati ajali mara nyingi
ha haa!
 
Muda sii mrefu walokole watajitwalia utukufu kuwa maombi yao ndo yamemuangisha.Ukute ni kombola la mganga limemdungua ila sasa rangi za kila aina zitaanza kuonekana.
 
Daah, Kanisa la Pentekoste mmewasha moto 🔥 huko, wachawi wanaanguka kwa Jina la Yesu! Hii ni habari njema. Keep it up.

"Basi [Yesu] alipowaambia, 'Ni mimi', wakarudi nyuma, wakaanguka chini." (Yohana 18:6, SUV)
Huu ni mchongo wa hilo kanisa kurubuni waumini wake, na wwe umejaa!!
 
Afya ya akili jumlisha ulinzi duni wa ofisi husika.
 
Kuna mmoja miaka fulani hivi nyuma kipindi nasoma Pugu, kuna kanisa kama unaelekea kajiungeni aliangukaga kwenye hilo kanisa usku wa saa nane walokole wanafanya maombi yao. Tukanda kumshuhudia.
 
Huo usafiri urasimishwe ajali zinatokea kwa nadra sana
 
Hizo ndege kama kweli zipo ni wakati zisajiliwe sasa Ili ziruke mchana,maana zitasaidia kupunguza gharama na changamoto za usafiri,
Na Mimi nitasafiri kwazo Ili kusapoti sayansi ya Africa.
Raia wasafiri uchi? Sheria za kimataifa zinaruhusu?
 
Hii sayansi ya kufikirika haiwezi kudhibitishwa,
Huyo mtu atakuwa na matatizo ya akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…