MWANAFUNZI HUYU ALIPATA SIFURI LICHA YA KWAMBA MAJIBU YAKE YOTE YALIKUWA SAHIHI
SWALI: Mkwawa alikufa katika vita gani?
JIBU: Katika vita yake ya mwisho
SWALI: Mkataba wa Geneva ulisainiwa wapi?
JIBU: Mwisho wa karatasi
SWALI: Nini sababu kuu ya talaka?
JIBU: Ndoa
SWALI: Kitu gani ambacho huwezi kula wakati wa mlo wa asubuhi?
JIBU: Chakula cha mchana na cha usiku
SWALI: Kipi kinachofanana na kipande cha tunda?
JIBU: Kipande cha pili cha tunda hilo.
SWALI: Hitler alikufa vipi?
JIBU: Moyo wake uliposimama baada ya kufika malaika wa kifo.
Post sent using JamiiForums mobile app