Apata sifuri baada ya kutoa majibu sahihi

Red Scorpion

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2012
Posts
5,736
Reaction score
4,252
MWANAFUNZI HUYU ALIPATA SIFURI LICHA YA KWAMBA MAJIBU YAKE YOTE YALIKUWA SAHIHI

SWALI: Mkwawa alikufa katika vita gani?
JIBU: Katika vita yake ya mwisho

SWALI: Mkataba wa Geneva ulisainiwa wapi?
JIBU: Mwisho wa karatasi

SWALI: Nini sababu kuu ya talaka?
JIBU: Ndoa

SWALI: Kitu gani ambacho huwezi kula wakati wa mlo wa asubuhi?
JIBU: Chakula cha mchana na cha usiku

SWALI: Kipi kinachofanana na kipande cha tunda?
JIBU: Kipande cha pili cha tunda hilo.

SWALI: Hitler alikufa vipi?
JIBU: Moyo wake uliposimama baada ya kufika malaika wa kifo.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…