Apendapo Mwenyezi Mungu tarehe 1.5.2015, save the Date, KIMENUKA

Apendapo Mwenyezi Mungu tarehe 1.5.2015, save the Date, KIMENUKA

Watu wana mambo? Hivi mimi nikatoe pesa zangu kisa naenda kushuhidia Zari anavikwa pete na Diamond!
Labda hizo pesa ziwe hazina kazi na mimi pia niwe sina kazi.

Najitolea kukulipia kiingilio siku hiyo, worry not
 
Khaaaaa! Shoga nawe leo umetoa mpya!

Hahahahahahahaaaaaa yaani mi mwenyewe cjaelewa kabisaaa nimeandika nn ila niligundua ni cm yenyewe ndo imefanya ivo,nilikuwa natumia cm afu ikawa inajibonyeza bila mi kujua, sorry 4 any inconvinience...
 
Hahahahahahahaaaaaa yaani mi mwenyewe cjaelewa kabisaaa nimeandika nn ila niligundua ni cm yenyewe ndo imefanya ivo,nilikuwa natumia cm afu ikawa inajibonyeza bila mi kujua, sorry 4 any inconvinience...

Hahahaaa,wala usijali.....nilihisi kitu kama hicho ndio maana nikakuchokoza kidogo nihakikishe.
 
loveleen kakujibu vyema kabisa iyo ndio maana halisi ya neno "Kishkwambi "

Kwa kuongeza tu ni kwamba siku zote;
Lugha husharabu kwa maana ya kwamba huchukua maneno kutoka Lugha nyingine ili kujiongeza zaidi.

Ivyo basi Neno "Kishkwambi" lina maanisha kijanja zaidi au kisasa zaidi utakuta mtu anasema yaani ####Kishkwambi flani ivi amaizing####


Gatchyou luvies!


Neno KISHKWAMBI hupenda sana kutumiwa na waganda na ata Zari hupenda saana kulitumia naeza sema yeye ndie amelipa kik sana ili neno ama huu msamiati

Hili neno KISHKWAMBI limetokana na neno SHIKWAMBI baada ya kutohoa likimaanisha kijanja zaidi au kisela zaidi ivyo yani......ama neneeee

natumai umenielewa ndugu pamoja saana
 
Last edited by a moderator:
Shoga KISHKWAMBI manake Kuishi Kwa Mbinu. Wewe Zari unamuonaje?
Anaishi kwa mbinu ama nini?..lol
Jiongeze hapo.

Licha ya kuwa fan wake ila dah kuna vitu vyenye najiulizaga hata sipati majibu!

Wanawake warembo wana raha sana aiseee. Urembo wao unawabariki mno
 
Licha ya kuwa fan wake ila dah kuna vitu vyenye najiulizaga hata sipati majibu!

Wanawake warembo wana raha sana aiseee. Urembo wao unawabariki mno

Acha kabisa urembo una raha sana.Ndio maana wanawake wengi warembo huwezi kuwakuta katika professionals ngumu kama udaktari, uinjinia n.k
Ila wabaya wanakazaje jamani?..lol
 
Back
Top Bottom